Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Wasalaam wanajamviHakika wanaume wengi tumekuwa tukipata tabu sana katika kuchagua makabila ya wanawake wa kuoa napenda kuwaambia masai is the best tribe. Ukioa mmasai utalipa ng'ombe 10 na Mbuzi 60 na huyo Mama wa Kimasai ana wajibu kuzalisha mara mbili ya hiyo mahali ili amwezeshe mumewe kupata mahali ya kuoa mke wa pili naye wa pili atazalisha ili mumewe aoe mke wa tatu...etc. Huu ni utamaduni wa wenzetu wamasai na wake hao wanafanya hivyo ili wasaidiane majukumu ya kulea familia.Hii si ndo raha jama