Ushauri kwa wanaotaka kuoa

MZIMU

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
4,057
1,371
je wewe ni kijana ambae umefikia umri wa kuoa?. Kama jibu ni ndio kabla hauja chagua mchumba, zinga tia mambo ya fuatayo.
1.kabla ya kuoa, unatakiwa uwe na shughuli yoyote halali, ambayo itakua inakuingizia kipato.
Umuhimu wa hili nadhani upo wazi sana, bila kua na kipato huwezi kujitegemea. Kujitegemea ni kufanya kazi ya halali na kuweza kupata mahitaji ya lazima kwa binadamu( chakula, malazi na mavazi), mahitaji muhimu(afya na elimu) na mahitaji ya ziada( simu na gari).

2.usije ukafikia uamuzi wa kuoa, kwa sababu unahamu ya kufanya ngono. Mara nyingi sana vijana huamua kuchukua uamuuzi huu mgumu ili aweze kujiridhisha kingono na mwanamke flani ambae kwa wakati huo amemtamani sana kufanya nae ngiono, lakini mazingira ya kumpata yana masharati ya ndoa. Hivyo kijana ana amua kuao ili akaridhishe hamu yake ngono.
Madhara ya hili, hamu itakopo isha, na kuona kua mkewe ni mwanamke wa kawaida kama wana wake wengine, na ikatokea mwanamke mwengine zaidi yake, hapo matatizo, ndoa huvunjika ilihali, msha zaa watoto.

3. kabla ya kuchagua mchumba, lazima ujue sifa za mwanamke unae taka awe mke wako, na mama wa watoto wako. Zianishe sifa hizo wewe mwenyewe au kwa ushauri wa watu wenye hekima, na uzijue sifa hizo kwa moyo. Kwa hiyo mwanamke yoyote atake jitokeza au kukuvutia, lazima ulinganishe na sifa unazo zitaka.
Inabidi uwemakini na hilo. Utakutana na wanawake mtaani kwenu, shuleni au kazini. Nilazima uhakikishe kua mwanamke huyo ana sifa unazo zitaka na sio vinginevyo,Kama ushawishi wa marafiki, au ushawishi wa mwanamke mwenyewe au vinginevyo.
Ukikosea hapa, utakuja kujuta wakati
"it is too late"
 
Sawa sawa kabisa, na sisi tunaotaka kuolewa tufanye hivyo hivyo? Au tuwasubiri wanaotaka kuoa waje.
 
Mkulu nimeikubali point no3 umelenga mule mule panaponisumbua lakin thank GOD leo unenikumbusha !
 
je wewe ni kijana ambae umefikia umri wa kuoa?. Kama jibu ni ndio kabla hauja chagua mchumba, zinga tia mambo ya fuatayo.
1.kabla ya kuoa, unatakiwa uwe na shughuli yoyote halali, ambayo itakua inakuingizia kipato.
Umuhimu wa hili nadhani upo wazi sana, bila kua na kipato huwezi kujitegemea. Kujitegemea ni kufanya kazi ya halali na kuweza kupata mahitaji ya lazima kwa binadamu( chakula, malazi na mavazi), mahitaji muhimu(afya na elimu) na mahitaji ya ziada( simu na gari).

2.usije ukafikia uamuzi wa kuoa, kwa sababu unahamu ya kufanya ngono. Mara nyingi sana vijana huamua kuchukua uamuuzi huu mgumu ili aweze kujiridhisha kingono na mwanamke flani ambae kwa wakati huo amemtamani sana kufanya nae ngiono, lakini mazingira ya kumpata yana masharati ya ndoa. Hivyo kijana ana amua kuao ili akaridhishe hamu yake ngono.
Madhara ya hili, hamu itakopo isha, na kuona kua mkewe ni mwanamke wa kawaida kama wana wake wengine, na ikatokea mwanamke mwengine zaidi yake, hapo matatizo, ndoa huvunjika ilihali, msha zaa watoto.

3. kabla ya kuchagua mchumba, lazima ujue sifa za mwanamke unae taka awe mke wako, na mama wa watoto wako. Zianishe sifa hizo wewe mwenyewe au kwa ushauri wa watu wenye hekima, na uzijue sifa hizo kwa moyo. Kwa hiyo mwanamke yoyote atake jitokeza au kukuvutia, lazima ulinganishe na sifa unazo zitaka.
Inabidi uwemakini na hilo. Utakutana na wanawake mtaani kwenu, shuleni au kazini. Nilazima uhakikishe kua mwanamke huyo ana sifa unazo zitaka na sio vinginevyo,Kama ushawishi wa marafiki, au ushawishi wa mwanamke mwenyewe au vinginevyo.
Ukikosea hapa, utakuja kujuta wakati
"it is too late"


Jirani darasa zuri sana je una experience na kada hiii nini au yalikukuta?
 
Nitajitahidi, asante kwa ujumbe. ila tukumbuke, sifa/wasifu za mtu hubadilika siku hadi siku. hivyo tusisahau kumshirikisha aliyetuumba na kutuleta hapa duniani kwake. amen
 
Nimekupata MZIMU, ila nachoomba kama utaweza kututolea mifano ya sifa za mwanamke ninayemtaka kwa kifupi lakini, sijui kama umenipata?
Kwa ujumla tupo pamoja mkuu!
 
Thead yako imeenda shule mkuu hongera,lakini humu watu hawapendi mambo ya msingi kama haya ndo maana hawachangii,hebu angalia zile thread za ajabuajabu,utachoka!
 
sawa sawa kabisa, na sisi tunaotaka kuolewa tufanye hivyo hivyo? Au tuwasubiri wanaotaka kuoa waje.

hata kwanyinyi waolewaji, pia kuna vigezo vya kuzingatia kabla ya kukubali kuolewa tu, wengi wenu kutokana na ukali wa maisha. lakini hilo tutaliongelea kwa kirefu. Hivi karibuni.
 
yan nimekupata kabisa yan unachokisema ni kwel kabisa yan yan kwel kabisaaa
 
nimekupata mzimu, ila nachoomba kama utaweza kututolea mifano ya sifa za mwanamke ninayemtaka kwa kifupi lakini, sijui kama umenipata?
Kwa ujumla tupo pamoja mkuu!

papa mopao. Binadamu tupo tofauti sana. Kwahiyo sifa mwanamke wa kuoa pia ziko tofauti. Haziko general. Ni very specific. Lazima uziangalie kwa jicho la rohoni.
Ushauri wangu hapa,
skip the obvious. Angalia zile ambazo yeye mwenyewe, au watu wengine hawazipi attention. Those are real characters. Their are inborn, not reharsed.
hapo sina ushauri kwani inategemea na wewe mungu alivyo kuumba.
 
umesema ukweli ila tusiahau kumshirikisha mungu kwa hilo
te

shost, kimsingi, the almighty God alisha maliza kazi yake kwa wanadamu. Ndio maana tuta kwenda mpaka mwezini. It is just a matter of using reasoning.
 
ubarikiwe kwa mafundisho mazuri - laiti ungefanya "seminar" kwa vijana wetu
 
Back
Top Bottom