PEA
Member
- Dec 31, 2010
- 77
- 33
Ni ndoa changa ina miaka mitano tu, maisha yao mazuri kwa Baba na Mama wote wanafanya kazi nzuri tu na kimsingi ndoa yao ina amani na utulivukwa kiwango kikubwa.
Tatizo lao kubwa ni moja tu. Mama anataka anataka jina lake lionekane katika kila kitu kikubwa kinachonunuliwa au kumilikiwa na familia mfano hati ya kiwanja iandikwe jina lake badala ya jina la mumewe. Kwa mujibu wa Mama huyo haoni tatizo kwa jina la mumewe kutoonekana mahali popote. Hii kwa kiasi kikubwa imepelekea ugomvi wa hapa na pale ndani ya familia. Ikumbukwe kwamba baadhi ya makubaliano hufanywa na Mkewe pekee jamaa akiwa safari
Je kuna madhara yoyote kwa jina la mmoja wa wana ndoa kutoonekana katika umiliki wa mali za pamoja?
Je, kuna logic yoyote kwa mwanamme kutokubaliana na utaratibu huu wa mkewe?
Je, kwa mila na tamaduni za makabila mbalimbali ya Tanzania nani ni msimamizi au kiongozi wa familia?
Je, sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inafafanua vipi utata uliopo hapa?
Nawakaribisha kwa maoni, michango na ushauri
Tatizo lao kubwa ni moja tu. Mama anataka anataka jina lake lionekane katika kila kitu kikubwa kinachonunuliwa au kumilikiwa na familia mfano hati ya kiwanja iandikwe jina lake badala ya jina la mumewe. Kwa mujibu wa Mama huyo haoni tatizo kwa jina la mumewe kutoonekana mahali popote. Hii kwa kiasi kikubwa imepelekea ugomvi wa hapa na pale ndani ya familia. Ikumbukwe kwamba baadhi ya makubaliano hufanywa na Mkewe pekee jamaa akiwa safari
Je kuna madhara yoyote kwa jina la mmoja wa wana ndoa kutoonekana katika umiliki wa mali za pamoja?
Je, kuna logic yoyote kwa mwanamme kutokubaliana na utaratibu huu wa mkewe?
Je, kwa mila na tamaduni za makabila mbalimbali ya Tanzania nani ni msimamizi au kiongozi wa familia?
Je, sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inafafanua vipi utata uliopo hapa?
Nawakaribisha kwa maoni, michango na ushauri