Ushauri kwa ndoa za Mashaka

Tongue blister

JF-Expert Member
Jun 19, 2009
362
11
Week end imeanza...!

Kwa wale walio olewa au kuoa wana jeshi mna shauriwa sana, mnapokuwa mmelala majumbani mwenu msikubali kabisa wenza wenu wakalala usingizi fofofo na kuanza kuota, Kwani akiota tu kwamba mpenziwe au mkewe ana fanya mapenzi na wanaume mwingine au mwanamke mwingine ujue umeumia kwani ata kwenda kutafuta smg usiku huo huo, Akianza kukoroma mtingishe aamke. Hakikisha humpi nafasi ya kusinzia.
Pia mjihadhari na majibu ya mkato mkato kwa wenzi wenu, mfano, utajiju, topic clossed, usiniulize mimi n.k.

Majibu ya jinsi hii yanaweza kumsababisha mwenzi wako kwenda lindoni na kurudi na SMG na kukutawanya ulivyokula jana na juzi.

 
Kila mtu antaka kwenda mbinguni; hivyo hatuachi kulala fofofo. Wakituua shauri lao na roho na wivu wao wa kijinga
 
Back
Top Bottom