rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Kutokana na niliyoyaona Imanuel Tv namshauri ndugu yetu Mwakembye aende akaombewe kwani kwa taarifa tulizo nazo ni kwamba ile sumu ikishaingia kwenye system haiwezi kutoka milele mpaka ikupeleke kaburini,Mkuu panda ndege nenda Yule mchungaji amesaidia wengi sana tumeona kwenye Tv,hakuna binadam wa kukuponya na hili!