Diamond 27 Zarina 35 difference 9 yrs.....Wolper 29 Harmonize 23 difference 7 yrs....Aunt Ezekiel 30 Mosez 23 also 7 yrs...Nisha 28 Baraka da prince 23 variation 5yrs...Shilole 29 Nedy Music 21...8 yrs....Wema Sepetu 28 Idriss 23 whch s 5 yrs... ishakua kawaida bongo...mwee vijana wamenunua walezi au mi siwaelewii
Mkuu kama kuna nia ya dhati ya mahusiano si Tatizo, Tatizo ni kuwa wana mahusiano ambayo hayaja barikiwa na ndoa..
Kama ni umri si kigezo maana hata Mtume Muhammad alioa mke wake wa kwanza Khadija, akiwa amezidiwa miaka 15...