rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
mkuu tumekusoma kwenye Tbc news jioni hii ukiendeleza ile sera yenu ya kutembelea wanachi'
mkuu tumeshangazwa sana na uamuzi wako wa kuongea kiinglish na wananchi wanaoishi vijijini'hivi ina maana walikuelewa?kama watanzania waishio mijini hiyo lugha inawasumbua sembuse wa vijijiini?kama kiswahili ndio lugha inayoeleweka kwa watanzania wote kwa msitumie?viongozi wetu acheni masihara kwenye maendeleo ya nchi yetu'umenikera sana mkuu!!
mkuu tumeshangazwa sana na uamuzi wako wa kuongea kiinglish na wananchi wanaoishi vijijini'hivi ina maana walikuelewa?kama watanzania waishio mijini hiyo lugha inawasumbua sembuse wa vijijiini?kama kiswahili ndio lugha inayoeleweka kwa watanzania wote kwa msitumie?viongozi wetu acheni masihara kwenye maendeleo ya nchi yetu'umenikera sana mkuu!!