Mkuu omba vyuo vingi hasa vya binafsi utapata chuo. Kama wategemea mkopo nakushauri omba education.
omba vyuo vingi kijana na kushauri apply education
still u can do it but try ku apply for education.
kutwa mnakesha jf,fb na tweeter unategemea matokeo gani?Nimepata three ya 16. Hist E, kisw E na engl S. Gs pia s. Naomba ushauri nini cha kufanya kama naweza kupata chuo. Ushaur tafadhali
kutwa mnakesha jf,fb na tweeter unategemea matokeo gani?
Nimepata three ya 16. Hist E, kisw E na engl S. Gs pia s. Naomba ushauri nini cha kufanya kama naweza kupata chuo. Ushaur tafadhali
Nimepata three ya 16. Hist E, kisw E na engl S. Gs pia s. Naomba ushauri nini cha kufanya kama naweza kupata chuo. Ushaur tafadhali
hivi nyie ni wazima kweli?sasa hiyo education ndio aje kuwa mwalimu wa nani?
We hovyo kabisa yaani usihangaike ku apply..nenda kalime matikiti maji na mapeas ..shule huwezi utapoteza muda wako bure..kutwa mko fb na twitter na kuvaa milegezo..mkiingia kwenye paper mnaona nyota kazi kujikunakuna tu ..nenda kalime usituchoshe hapa..tuna mambo ya kitaifa tunatafakari sio hayo mautumbo yenu..
hivi huwa mnasomaje nyie?
hivi nyie ni wazima kweli?sasa hiyo education ndio aje kuwa mwalimu wa nani?
Lengo la yeye kushauriwa akasome education,ni kumwezesha yeye kupata mkopo. Bodi ya mikopo imetangaza kutoa kipaumbele kwenye programmes pamoja na Elimu. Kama kweli wewe unauchungu na elimu ya Tanzania,mbona hautazami kuanzia msingi ambapo,wale waliopata div.4 ndo wanapokimbilia?? Tatizo katika elimu haianzi hapo,hata huyu leo unayemlaumu alifundisha na walimu waliofeli form 4 na kukosa sifa za kuingia kidato cha tano ndo maana pengine akawa hivyo