prakatatumba
JF-Expert Member
- Oct 17, 2011
- 1,328
- 190
Kuna mdogo wangu elimu yake ilikuwa hivi;alisoma shule ya msingi darasa la kwanza,la pili then akarukishwa hadi la nne alionekana kichwa akapelekwa form 1 akamaliza vzuri then akaenda advance akafanya vzuri,alichaguliwa chuo then akaenda kusoma sheria,sasa ameniambia anataka kusoma masters ya technological law ila anataka kuwa wakili,m nilishauriana na wanasheria baadhi wakanishauri asome law school kwanza but dogo amegoma,WANA JF huyu dogo yupo sahihi kweli?