Ushauri kwa huyu dogo

prakatatumba

JF-Expert Member
Oct 17, 2011
1,328
190
Kuna mdogo wangu elimu yake ilikuwa hivi;alisoma shule ya msingi darasa la kwanza,la pili then akarukishwa hadi la nne alionekana kichwa akapelekwa form 1 akamaliza vzuri then akaenda advance akafanya vzuri,alichaguliwa chuo then akaenda kusoma sheria,sasa ameniambia anataka kusoma masters ya technological law ila anataka kuwa wakili,m nilishauriana na wanasheria baadhi wakanishauri asome law school kwanza but dogo amegoma,WANA JF huyu dogo yupo sahihi kweli?
 
Kuna mdogo wangu elimu yake ilikuwa hivi;alisoma shule ya msingi darasa la kwanza,la pili then akarukishwa hadi la nne alionekana kichwa akapelekwa form 1 akamaliza vzuri then akaenda advance akafanya vzuri,alichaguliwa chuo then akaenda kusoma sheria,sasa ameniambia anataka kusoma masters ya technological law ila anataka kuwa wakili,m nilishauriana na wanasheria baadhi wakanishauri asome law school kwanza but dogo amegoma,WANA JF huyu dogo yupo sahihi kweli?

mwambie dogo aende law school aache mbwembwe ,sheria watu hawakurupuki mambo yanaenda kwa utaratibu huku sio shule ya msingi.
 
Back
Top Bottom