Ushauri kwa hili la tcu leo

Sio wewe tu...hata mimi ni hivyo hivyo...tungoje hiyo kesho mkuu
 
Uhuuuuwiiiiiiiiii uhuu uhuu uhuuuu..... Jaman jaman watakuja kuniua kumbe n kwa wote haisiiii
 
Wadau mbna mimi mambo yako pouwa kabisa afu ile view my selection status isharudi !! Sasa hapo mi nahisi nyie ni wa second around mliokosa chuo kwa 1st application.
 
Wadau mbna mimi mambo yako pouwa kabisa afu ile view my selection status isharudi !! Sasa hapo mi nahisi nyie ni wa second around mliokosa chuo kwa 1st application.

Vipi NOT YET PROCESSED imetoka??
 
Vipi NOT YET PROCESSED imetoka??

Noop !! Afu kuna ka toolbar ka 2nd round applctn wamekaongeza cjui wana maana gani? Hapa nilipo ni ful kamkojo kila wakati i dnt thnk ka leo usiku nitalala vizuri aiseee
 
Noop !! Afu kuna ka toolbar ka 2nd round applctn wamekaongeza cjui wana maana gani? Hapa nilipo ni ful kamkojo kila wakati i dnt thnk ka leo usiku nitalala vizuri aiseee

Usi ogope Mkuu hata account ya jamaa yangu aliye chaguliwa UD mambo ni yale yale
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom