Ushauri kwa Dr. Steven Ulimboka

Ongeeni mtakavyo lakini huyu jamaa suala lake halina uhusiano na serikali na hakuna serikali inayoweza kufanya mambo kizamani hivyo kama lengo ilikuwa ni kumuua. Huyu ni mhujumu na asubiri kuchukuliwa hatua kwankufanya mgomo usio halali na kusababisha kuzorota kwa huduma na watu wasio na hatia kufa. Mnaonukuu Mwanahalisi hamjui kwa nini imefungiwa?

teh teh teh...Hata Mahalu naye alishitakiwa kwa kosa la uhujumu uchumi! But today is a free dude
 
ww cna uhakika kn unafikiri sawasawa,kajipange@mbopo

Maria mwache huyo jamaa abwabwaje na mwisho atasema ukweli kwamba Ulimboka alitumwa na CHADEMA. Nasikia wameandaa Uzushi mwingine Ulimboka atakaporejea nchini ili kuendeleza propaganda kwamba Serikali ndiyo ilihusika na kuteswa kwake, Uzushi huo unaratibiwa na Hellen Kijo Bisimba.
 
Jamani sasa hivi tumeanzisha vita mpakani na jirani yetu mmoja hivi ili tusahau mambo ya Ulimboka...teh teh teh
 
wewe ktk watu wachache wenye alama za ugaidi ni mmoja wapo kama ni kaka yako katendwa hivi sidhani kama ungalitamka haya[/QUO

Kuna tofauti gani kati ya alichotendewa Ulimboka na walichotendewa wagonjwa wakati wa mgomo uliosababishwa na Ulimboka? au Ulimboka ndiye binadamu na wale wagonjwa walikuwa wanyama? Ole wake akirudi akajipitisha pitisha mbele ya watu ambao ndugu zao walikufa kutokana na mgomo ule.
 
I really like much of your comments here at jf bro,much respect.
CDM wameua Regia Mtema, Chacha Wangwe, wameua kule Igunga na Singida. ZITTO ndgu yangu ukae chonjo, Jumba limevamiwa na Jambazi LM.
 
wewe ktk watu wachache wenye alama za ugaidi ni mmoja wapo kama ni kaka yako katendwa hivi sidhani kama ungalitamka haya[/QUO

Kuna tofauti gani kati ya alichotendewa Ulimboka na walichotendewa wagonjwa wakati wa mgomo uliosababishwa na Ulimboka? au Ulimboka ndiye binadamu na wale wagonjwa walikuwa wanyama? Ole wake akirudi akajipitisha pitisha mbele ya watu ambao ndugu zao walikufa kutokana na mgomo ule.

Kwani Ulimboka ndio sababu ya mgomo wa madaktari? Why we Tanzanians like to prescribe without doing diagnosis? Do we solve the problems anyway or we continue postponing them so that they can resurface in even more uglier ways?
 
Jamani sasa hivi tumeanzisha vita mpakani na jirani yetu mmoja hivi ili tusahau mambo ya Ulimboka...teh teh teh

KUBENEA hajaenda kule mpakani akafanye uchunguzi kama Malawi wanajiandaa kutuvamia? Hellen Kijo Bisimba, Ananilea Nkya tunawategemea muasiliane na wenzenu wa taasisi kama zenu kule Malawi ili vita isitokee badala ya kufitinisha Watanzania kwa vipande vya pesa mnavyopewa kutoka kule Ujerumani, Uingereza na kwingineko
 
[h=6]breaking News.

Dr ulimboka kutua nchini wakati wowote akitokea af kusini kwenye matibabu.
wanaharakati,madokta wenzake na vyama kadhaa vya siasa vinaandaa na kuratibu mapokezi yake yatakayofanyika kuanzia uwanja wa ndege jijini dsm.

wanasiasa wakisaidiana na mwanahalisi inasemekana wanamlisha maneno ili aje ayaseme kuonyesha kwamba serikali ndio inahusika na kwamba mkenya ametengenezwa. namtakia afya njema dr ulimboka na ninamshauri asiendeleze malumbano,aendelee kupigania uhai wake kwanza kwani jamii ya watanzania bado inamhitaji na maadui zake bado wanamuwinda.

from tanuru la fikra

[/h]
 
Kwanza ni upotoshaji kudai ni mtumishi wa serikali. Lakini anatakiwa atakapopata afya njema, nasi tunamuombea, afikishwe mahakamani na ajibu mashitaka ya uhujumu uchumi na mauaji ya raia wasio na hatia. Halafu afunguliwe mashitaka kwa kuisingizia na kuidhalilisha serikali wakati kinachoitwa unyama kimefanywa kwa mambo yake binafsi.

Kabla ya mgomo watu walikuwa hawafi mahospitalini?

Toka siku nyingi umekuwa na ushauri wa nyongo ya mamba kwa watanzania wapenda maendeleo.
Wacha kuwa sabuni,ukiisha povu na thamani yako haitaonekana.
 
Sina hakika endapo ni sahihi kwamba Dr. Ulimboka ni Mtumishi wa Serikali. Nadhani nimepata kusoma katika vyombo vya habari wakati wa ule mgomo wa kwanza wa Madaktari kuwa Dr. Ulimboka hakuwa Mtumishi wa Umma, isipokuwa Madaktari walikuwa na imani naye kuwa atawawakilisha ipasavyo kwenye madai yao dhidi ya Serikali. Kuhusu kujiunga na Vyama vya Upinzani na kupata kura za Kishujaa, nadhani pia hauko sahihi. Apate kura za kishujaa kwa kuhamasisha mgomo uliopelekea Watanzania takribani 400 kupoteza maisha kwa vifo ambavyo pengine vingeweza kuzuilika endapo Madaktari wangekuwepo kazini? Au unamuona Dr. Ulimboka ni shujaa wako kwa kuwa wewe hukufiwa na mkeo, mwanao, mjomba, shangazi, baba, mama au ndugu wakati wa mgomo ule? Kwa mtazamo wangu, nadhani ilifaa sana sasa Wananchi kwa kupitia Wabunge wa Upinzani au Chama Tawala, wakati wa Bunge hili la Bajeti WAIBANE SERIKALI ILI SASA ITOE TAKWIMU HALISI ZA IDADI KAMILI YA WATU WALIOPOTEZA MAISHA WAKATI WA MGOMO WA MADAKTARI ili tuweze kuupima huo ushujaa unaousema alioupata Dr. Ulimboka kwa vifo vya Watanzania wote hao wasio na hatia! Inawezekana vipi hakuna mtu hata mmoja kati ya Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati, Wanahabari ambaye anapenda kuihoji Serikali juu ya nini tathmini ya mgomo wa madaktari kwa upande wa vifo vilivyotokea? Kwa maoni yangu nadhani kutoulizwa kwa swali hili ndipo kunakopelekea wengi wetu kuamini kuwa Suala la Dr. Ulimboka ni agenda na mtaji wa kisiasa kwa watu fulani! Hivi ni sahihi kudhani kuwa haki za binadamu zimevunjwa kwa Dr. Ulimboka kuteswa na kupigwa pekee? Vipi haki za binadamu wale wengine waliopoteza maisha kwa kukosa Daktari wa kuwawekea 'Oxygen' kule hospitali? Au kwa kukosa Daktari wa kuwafanyia upasuaji? JF ni jukwaa makini la majadiliano, na ni vyema kujadili hoja katika uwanja mpana zaidi kuliko kulitumia jukwaa hili kukwepesha hoja na kuuliza maswali yanayokidhi mahitaji mbalimbali ya kisiasa ya Wachangiaji. Ni wakati muafaka sasa tupate takwimu za ndugu zetu waliopoteza maisha ili tulipime sakata hili kwa mizani inayoeleweka. Naomba kuwasilisha..!
 
KUBENEA hajaenda kule mpakani akafanye uchunguzi kama Malawi wanajiandaa kutuvamia? Hellen Kijo Bisimba, Ananilea Nkya tunawategemea muasiliane na wenzenu wa taasisi kama zenu kule Malawi ili vita isitokee badala ya kufitinisha Watanzania kwa vipande vya pesa mnavyopewa kutoka kule Ujerumani, Uingereza na kwingineko

Maneno unayotumia yako very Interesting mkuu...eti nani anatufitinisha tena? I thought we were more independent 30 years ago than we are now. Tumetumia muda mwingi sana wa uongozi kuzunguka duniani kutafuta misaada na wawekezaji. Kwani tulikuwa hatujui jinsi wanavyofanya kazi? wakikupa huku lazima watatoa na kule so that they could strike the balance. Mwisho wa siku matatizo tuliyo nayo sio ya Kubenea wala watu hao wachache unaowataja...ni matatizo yetu ya kimfumo. Tunalea wala rushwa na wahujumu uchumi wa kweli na kuhangaika na watu wadogo wasio na threat yoyote kwa watanzania walio wengi. Hizo hela zinazoibwa kila siku kama tungetumia kwa elimu na afya hadithi ingekuwa tofauti.
Kwa mtazamo wangu, tuanze kuyakabili matatizo ya kweli ndio tushughulike na wazushi. Ilivyo sasa ni kuwa watu wachache wanaokula mali ya walio wengi wanataka kuzima sauti za wale wanaosema jamani mbona mnakula bila kiasi... thatha, this is just my thought!
 
Last edited by a moderator:
mfadhili wake mkuu mzee mengi hajafurahishwa na uamuzi wake wa kurudi nyumbani lakini ameamua kumpangishia nyumba kubwa yenye hadhi
 
anaandaliwa maneno na wanaharakati kwa kushirikiana na kubenea ambayo yataendana na habari aliyoiandika mwanahalisi na kutaja majina na namba za watu aliowasiliana nao.
 
Dr Deo ndio anaongea nae mara kwa mara na ndio ameeleza kwenye kikao cha maandalizi kinachohudhuriwa na wanaharakati,madaktari na kina kubenea jinsi walivofahamiana na walivyoanza kukutana kwa mara ya kwanza na Abdiel
na mambo waliyokuwa wanazungumza
 
Kwanza ni upotoshaji kudai ni mtumishi wa serikali. Lakini anatakiwa atakapopata afya njema, nasi tunamuombea, afikishwe mahakamani na ajibu mashitaka ya uhujumu uchumi na mauaji ya raia wasio na hatia. Halafu afunguliwe mashitaka kwa kuisingizia na kuidhalilisha serikali wakati kinachoitwa unyama kimefanywa kwa mambo yake binafsi.

Sitaki kuamini kama uwezo wa kufikilia kwa upande wako umekomea hapo , Vipi na ww ukafikishwe mahakamani kwa kutoa kauli zenye uchochezi .
 
kwanza ni upotoshaji kudai ni mtumishi wa serikali. Lakini anatakiwa atakapopata afya njema, nasi tunamuombea, afikishwe mahakamani na ajibu mashitaka ya uhujumu uchumi na mauaji ya raia wasio na hatia. Halafu afunguliwe mashitaka kwa kuisingizia na kuidhalilisha serikali wakati kinachoitwa unyama kimefanywa kwa mambo yake binafsi.

kimasaburi masabuburi....
 
JK anavosemaga ni upepo tu utapita hes so right.. Saivi watu washaanza kusahau kuhusu ulimboka...upepo ushapita
 
Back
Top Bottom