Ushauri kwa CCM ili kuendelea vema 2015

MTWA

JF-Expert Member
Aug 5, 2009
1,166
166
Badala ya CCm kuwadhibiti na kuwaua watu wao maarufu kisisasa nadhani ilikuwa bora kujijengea sifa kwa wannchi kwa kuwapunguzia ugumu wa maisha, kupunguza ufisadi na kusimamia fedha zinazopelekwa kwa wananchi zisitafunwe bure.

Nadhani badala ya kuanza kuwatoa watendaji waliwahi kuaminiwa na wananchi ni bora wangewashauri mafisadi na kuwapunguzia ulaji kidogo ili kashfa zipungue.

Pia wangejaribu kuwashauri wote wanaotoa siri zao nje kukaa na wapambanaji vizuri ili wachangie positively.
Ila huu uhasama wa kuwafanyia fitina watu ni wazi lazima kutawacost vibaya. Kumbuka bado fitina za kugombe urais wa 2015 bado. sasa huo uhasama si ndo utawamaliza?
Kwa mtazamo wangu Japo wanajitahidi kubomoa upinzani, na kuwaua kisiasa wapambanaji wa ufisadi lakini kazi kwao itaweza kuwa bado ngumu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom