Wanachedema naomba ushauri wenu suala hili la viongozi wa Chadema hapa Washington kuvaa kihereni sikioni linakera watu wengi. Sasa tufanyeje? tusije chemsha kama chama cha wenzetu
Mambo ya ajabu sana, vihereni kusuka havitowasaidia sasa sijui CDM kitakuwa chama cha mabitozi au kata-K....viroja
Ni wanaume????? Mhhh!!!!!! Sisko alivaa wakati anawania ubunge tmk na mrema. Mram alishinda kwakuwa hakuvaa hereni.