rajabkisauti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 566
- 314
Kama kichwa kinavyo sema hapo juu nataka kununua gari aina ya nissan march ila nataka ushauri vip kuhusu spare,ulaji wa mafuta,high way stability,speed na uimara.
Duh sidhani kama atapata tena hamu ya kununuaNdugu yangu Nissan March mm ninako, kiukweli gari hizi ni sawa na ndoa ya Kikristo. Ukitaka kuiuza hutopata mteja.na Spea zake ziko juu kidogo na sio nyingi sana.
Nissan March iko poa mbona. Sema wewe utakuwa unakauzia bei ya Almasi au Dhahabu... Uza bei ya kawaida uone kama hakanunuliwi fasta...Ndugu yangu Nissan March mm ninako, kiukweli gari hizi ni sawa na ndoa ya Kikristo. Ukitaka kuiuza hutopata mteja.na Spea zake ziko juu kidogo na sio nyingi sana.
iko very economy, imara sana. Mimi ninayo mwaka wa Tatu sijawahi kujuta kuwa nayo.Bado sjapata majibu wakuu wataalam zai mujee
Kama kichwa kinavyo sema hapo juu nataka kununua gari aina ya nissan march ila nataka ushauri vip kuhusu spare,ulaji wa mafuta,high way stability,speed na uimara.
Yaan pamoja na madongo yote hayo bado unaham ya kuichukua? Basi hakukuwa na haja ya kuomba ushauri, ungefata vile unatakaAhsanteni kwa ushauri wenu ngoja niichukue hiyo gari
Nilichoona hapo ni kwamba wale walowahi kumiliki wamesema iko poa..wengine wanayoiponda ni wale ambao hawajamiliki ndo mana nikachukua uamuzi huu mkuuYaan pamoja na madongo yote hayo bado unaham ya kuichukua? Basi hakukuwa na haja ya kuomba ushauri, ungefata vile unataka
Mmmmmh! Yuko morogoro na misukosuko kibaoKama una mwembe wa kushindia nyumbani kwako basi nunua Nissan March, ikianza ugonjwa wa kugonga kwenye Engine basi utakuwa unashinda kwenye mwembe na kubadilisha mafundi utakavyo, kweli kiwese ni kunusa tu upo Morogoro