BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Jamani salama,
Kwasisi ambao tumeoa/kuolewa sometimes zile vurugu match za nyumbani kweli unahitaji mbadala ili kidogooooooooooo kushusha ka pressure kako.
JE kwa wanaume mbadala ni kutafuta kabinti au ka mke ka mwezako? Likewise kwa wanawake bora ya kasharubaro au mme we mwenzako. Jamani haya mambo yapo hapa duniani hivyo tuwe tu realistic kwenye kuchangia.
Kwasisi ambao tumeoa/kuolewa sometimes zile vurugu match za nyumbani kweli unahitaji mbadala ili kidogooooooooooo kushusha ka pressure kako.
JE kwa wanaume mbadala ni kutafuta kabinti au ka mke ka mwezako? Likewise kwa wanawake bora ya kasharubaro au mme we mwenzako. Jamani haya mambo yapo hapa duniani hivyo tuwe tu realistic kwenye kuchangia.