taurus5270
Member
- Dec 31, 2013
- 79
- 12
Be forward wako vizuri, wanaku update kila siku from the day umelipa hela kununua gari mpaka siku meli inafika bandarini.
Mie gari yangu imeshafika, na nimeshalipia ushuru wiki iliyopita, now ipo kwenye process ya clearance, nadhani mwanzoni mwa wik ijayo ntakuwa naendesha sasa! Thanks kwa michango yenu ya kimawazo kuhusu swala hili. Be forward wako vizuri. Cha muhimu ni kujiandaa na ushuru tu.
Mie gari yangu imeshafika, na nimeshalipia ushuru wiki iliyopita, now ipo kwenye process ya clearance, nadhani mwanzoni mwa wik ijayo ntakuwa naendesha sasa! Thanks kwa michango yenu ya kimawazo kuhusu swala hili. Be forward wako vizuri. Cha muhimu ni kujiandaa na ushuru tu.