Hahahahahahahah, pal, chenji iliisha ndo nakusanya nguvu ya kuweka tiles sasa.
chenji itakuwa imepatikana sasa. uongo?
Teh teh pql bana husahau?
kichwa changu kizuri.
kama unataka za china ya nini uende kariakoo? Nenda monalisa, utanunua kwa bei ya jumla, chagua unazotaka kutokana na mfuko wako then utaenda kufuata mzigo wako godauni. Maana hata hao wa kariakoo wao wanachukua huko huko. Kuhusu za spain aina uzoefu nazo mzee mi nimezoea za kichina
Hao monalisa wanapatikana wapi ili nami niende huko mkuu pls nielekeze kidogo?
Naomba kuuliza bei za mafundi kwa ajili ya tiles ina range sh ngapi per square metre?na kama kuna mtu ananamba ya fundi mzuri wa tiles naomba msaada plz
wameamia opposite na veta changombe kama waelekea maduka mawili karibu na gas station
I ll make followup ifz the game still existHawa Monalisa ni wezi hasa ktk kodi usipokuwa makini hupati risiti, nilikwenda pale kwa ajili ya kununua furnitures nikapewa mtu wa kwenda naye huko kwenye godown yao chang'ombe kwani zilikuwa nyingi kiasi, nikapewa mzigo bila risiti tulisumbuana mpaka tukarudi tena show room kwao kwa ajili ya risiti.
Mimi siku izi ata nikinunua kitu cha 100mil sidai electronic receipt bse najua iyo ela inaenda liwa na wajanja tuu kuanzia mishahara mikubwa mpaka posho za kila leo!
Mpaka TRA wakianza kuwa serious na ukusanyaji kodi ndo labda ntakuwa na moyo.
Top ten tax payers hakuna mgodi ata mmoja?Yaani Tigo na Konyagi wanalipa kodi zaidi ya wachimba zahabu!
Nadai maana angalau niko na imani ela inaenda tumika wapi?Vipi siku hizi unadai electronic receipt ?
Ni Sh 5000 Kwa Square Meter ikiwa ni pamoja na scatting.Naomba kuuliza bei za mafundi kwa ajili ya tiles ina range sh ngapi per square metre?na kama kuna mtu ananamba ya fundi mzuri wa tiles naomba msaada plz