Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Wakuu Salama?
Naomba mwenye ujuzi wa Bati zipi hasa zinafaa kuezekea Nyumba. Mimi niko Mwanza nataka kuezeka Nyumba sasa watu wengi wamenishauri juu ya Mabati ya Alaf, wengine wamenitajia mabati hata majina yao siyakumbuki. Kimsingi nataka bati zile ambazo zinafanana na zile wanaziita Vigae vya South ila natatizika kwa sababu kuna Version nyingi sana. Ushauri wa Haraka unahitajika maana pesa za Mkopo hazikai
Natanguliza Shukrani
Naomba mwenye ujuzi wa Bati zipi hasa zinafaa kuezekea Nyumba. Mimi niko Mwanza nataka kuezeka Nyumba sasa watu wengi wamenishauri juu ya Mabati ya Alaf, wengine wamenitajia mabati hata majina yao siyakumbuki. Kimsingi nataka bati zile ambazo zinafanana na zile wanaziita Vigae vya South ila natatizika kwa sababu kuna Version nyingi sana. Ushauri wa Haraka unahitajika maana pesa za Mkopo hazikai
Natanguliza Shukrani