Fighter
JF-Expert Member
- Aug 30, 2009
- 615
- 152
inaleta maana
bepari wa kikulya(bk)
inaleta maana
jiite, obama hili halijakaa kishamba sawa eee
Nina mpango wa kubadili ID yangu ya Mwita25 kwasababu imekaa kishamba sana. Kwahiyo, ukiwa mpiganaji mwenzangu, naomba ushauri na maoni yako juu ya jina jipya linalofaa. Mchango wako ni muhimu sana na mshindi atapata kavocha ka buku 10 kwa njia ya PM kama shukrani yangu. Vigezo na masharti havitazingatiwa, Kazi Kwako mwanakwetu. Haya twendeeeeeeeeee
Nina mpango wa kubadili ID yangu ya Mwita25 kwasababu imekaa kishamba sana. Kwahiyo, ukiwa mpiganaji mwenzangu, naomba ushauri na maoni yako juu ya jina jipya linalofaa. Mchango wako ni muhimu sana na mshindi atapata kavocha ka buku 10 kwa njia ya PM kama shukrani yangu. Vigezo na masharti havitazingatiwa, Kazi Kwako mwanakwetu. Haya twendeeeeeeeeee
jiite, obama hili halijakaa kishamba sawa eee
"Inkosikazi" litakufaa, make unaonekana mtu wa kazi kwa hoja na matendo.
nina mpango wa kubadili id yangu ya mwita25 kwasababu imekaa kishamba sana.