R CHUGGA
Senior Member
- Nov 28, 2011
- 124
- 13
Naomba ushauri wenu katika hili!
Ngozi ya korodani inapokuwa inatoa kitu kama fungus-yani ngozi inakuwa kama ina magamba halafu ni upande mmoja tu,katika korodani la kulia.
nimetumia sabuni nyingi za ngozi lakini bado inaendelea.
Hivi hii inasababishwa na nn hasa na nini tiba yake?
Nahitaji ushauri na sio masihara.
Ngozi ya korodani inapokuwa inatoa kitu kama fungus-yani ngozi inakuwa kama ina magamba halafu ni upande mmoja tu,katika korodani la kulia.
nimetumia sabuni nyingi za ngozi lakini bado inaendelea.
Hivi hii inasababishwa na nn hasa na nini tiba yake?
Nahitaji ushauri na sio masihara.