Ushauri jamani... Mtoto wa kutelekezwa ananikosesha amani!

Asanteni sana kwa michango yenu wadau. Kwa waliouliza kama huyu jamaa aliripoti polisi baada ya tukio, jibu ni ndio. Alifanya taratibu zote hadi kukabidhiwa mtoto. Huyu mwanamke alishuka kwenye dalala kabla ya mshkaji na kwa maelezo ya mshkaji, huyu mwanamke alipandia njiani gari ikiwa imejaa, akamwomba mshkaji ambebee mtoto coz ye alikaa siti ya mbele. Mwanamama ye akasimama nyuma. Kwa hali ya kawaida, yule mama alitakiwa kumchukua mtoto wake akishuka. Ila sasa mshkaji akajikuta anaenda na yule mtoto hadi kituoni kwake. Akamtafuta huyo mwanamke na hakumwona. Kaulizia watu waliokuwa karibu yake wakasema keshashuka! Na ukumbuke alikuwa amesimama nyuma wakati mtoto kapakatwa mbele, so wale abiria wenzake wa nyuma si rahisi wajue kama aliingia na mtoto. Story nd'o iko hivo..
 
sasa kaka wewe ulianzaje kaa na mtoto bila kutoa taarifa polisi... yasingekukuta hayo.... frankly speaking hiyo si kweli... ni hadithi..
 
Hii hadithi haijakamilika na kwa hiyo ni vigumu kuchangia au ni too fictious!!
 
Hii hadithi haijakamilika na kwa hiyo ni vigumu kuchangia au ni too fictious!!
<br />
<br />
Mimi cjui kama ni mkweli au muongo na hiyo story. Nilichofanha hapa ni kuelezea kilichomsibu kutokana na maelezo yake. Ushauri ntakaopata nitampatia & ataamua yeye afanyeje. Nawakilisha! Asante.
 
<br />
<br />
Mimi cjui kama ni mkweli au muongo na hiyo story. Nilichofanha hapa ni kuelezea kilichomsibu kutokana na maelezo yake. Ushauri ntakaopata nitampatia & ataamua yeye afanyeje. Nawakilisha! Asante.

Sijakulamu wewe Bro,

Nimeeleza kuwa hii story ina gaps nyingi sana kiasi kwamba binafsi nitahitaji kupata majibu ya maswali mengi sana tena ya msingi kabla sijasema lolote.

1. Huyo mtoto aliachiwa vipi kwenye dala dala? Ina maana mama alimpa mtoto amshike halafu akasepa? Alimtelekeza kwenye seat? .....
2. Huyo mshikaji alichukua hatua gani baada ya kuachiwa mtoto?? Hapo pia kuna mambo mengi hayako wazi kwenye hii story!
3. Jamaa aliishi vipi na mtoto kwa miaka 2 na kwa nini hakumpeleka kwenye vituo vya kulelea watoto wa namna hiyo? Na mtoto alikuwa na umri gani wakati huo?
4. Huyo mama wa mtoto alijuaje kwamba rafiki yako ndiye alimchukua mtoto na kwamba anaye nyumbani??
5. Etc..etc..etc!!

Ushauri wangu,
1. Afungue file polisi kama hakufanya hivyomara baada ya kuachiwa mtoto. Ila naye ajiandae kujibu baadhi ya maswali ambayo mengine yatamkera. Na asishangae akiitwa mwizi wa mtoto!
2. Mama wa mtoto lazima akafanye DNA test (paternity testing) ili kuondoa utata kama siyo tapeli
3. Jamaa ajiandae kwa uamuzi wowote unaOweza kutolewa na vyombo vyenye mamlaka mfano mahakama na kuamua tofauti na matarajio yake!

Mpe pole lakini....!!
 
Mradi alishatoa taarifa polisi wakati anatelekezewa mtoto basi aende tena akaripoti kuhusu kujitokeza kwa huyo mama.
 
Asanteni sana kwa michango yenu wadau. Kwa waliouliza kama huyu jamaa aliripoti polisi baada ya tukio, jibu ni ndio. Alifanya taratibu zote hadi kukabidhiwa mtoto.

Je, huko polisi alikoenda walitoa tangazo la mtoto kupotea/ kupoteana na mama yake au kutelekezwa na mama yake na kutoa description ya huyo mtoto na kutoa wito kwa watu, ndugu, na jamaa waliopotolewa na mtoto kujitokeza kwenda kumtambua? Au polisi wa Tanzania hawafanyagi hivyo? Kwa sababu bado haiingii akilini mwangu kuwa jamaa alipewa custody hivi hivi tu wakati yeye alikuwa 'msamaria mwema' of sorts.

Huyu mwanamke alishuka kwenye dalala kabla ya mshkaji na kwa maelezo ya mshkaji, huyu mwanamke alipandia njiani gari ikiwa imejaa, akamwomba mshkaji ambebee mtoto coz ye alikaa siti ya mbele. Mwanamama ye akasimama nyuma. Kwa hali ya kawaida, yule mama alitakiwa kumchukua mtoto wake akishuka. Ila sasa mshkaji akajikuta anaenda na yule mtoto hadi kituoni kwake. Akamtafuta huyo mwanamke na hakumwona. Kaulizia watu waliokuwa karibu yake wakasema keshashuka! Na ukumbuke alikuwa amesimama nyuma wakati mtoto kapakatwa mbele, so wale abiria wenzake wa nyuma si rahisi wajue kama aliingia na mtoto. Story nd'o iko hivo..

Okay sasa hapa kidogo naanza kupata picha. Child abandonment si jambo geni sana na wala si la ajabu. Lakini bado sipati picha ya jinsi jamaa alivyopata custody ya mtoto ilhali na yeye alkuwa stranger tu. Kwa sababu, kwa kutumia akili tu za kawaida, ukienda polisi na tatizo kama hilo, mtoto mara nyingi huchukuliwa na polisi na wao hummkabidhi kwenye sehemu husika, kwa mfano kituo cha kulelea watoto huku wakifanya taratibu zingine za kutafuta ndugu na jamaa wa huyo mtoto. Labda haya yote yawe hayafanyiki Tanzania lakini nchi zingine wanachofanya ni kuweka matangazo kwenye vyombo vya habari pamoja na vipeperushi kwenye sehemu nyingi kama vituo vya mabasi, supermarkets, na kadhalika.

Je, hayo yote yalifanyika?
 
Je, huko polisi alikoenda walitoa tangazo la mtoto kupotea/ kupoteana na mama yake au kutelekezwa na mama yake na kutoa description ya huyo mtoto na kutoa wito kwa watu, ndugu, na jamaa waliopotolewa na mtoto kujitokeza kwenda kumtambua? Au polisi wa Tanzania hawafanyagi hivyo? Kwa sababu bado haiingii akilini mwangu kuwa jamaa alipewa custody hivi hivi tu wakati yeye alikuwa 'msamaria mwema' of sorts.<br />
<br />
<br />
<br />
Okay sasa hapa kidogo naanza kupata picha. Child abandonment si jambo geni sana na wala si la ajabu. Lakini bado sipati picha ya jinsi jamaa alivyopata custody ya mtoto ilhali na yeye alkuwa stranger tu. Kwa sababu, kwa kutumia akili tu za kawaida, ukienda polisi na tatizo kama hilo, mtoto mara nyingi huchukuliwa na polisi na wao hummkabidhi kwenye sehemu husika, kwa mfano kituo cha kulelea watoto huku wakifanya taratibu zingine za kutafuta ndugu na jamaa wa huyo mtoto. Labda haya yote yawe hayafanyiki Tanzania lakini nchi zingine wanachofanya ni kuweka matangazo kwenye vyombo vya habari pamoja na vipeperushi kwenye sehemu nyingi kama vituo vya mabasi, supermarkets, na kadhalika.<br />
<br />
Je, hayo yote yalifanyika?
<br />
<br />

Kwa keli braza mi hizo details nyingine sijui, ila ntamuuliza.
 
Ni bora umuulize maana jinsi ulivyoiwasilisha hapa hiyo habari ina mapungufu mengi sana na hai make sense kwa kiasi fulani.
<br />
<br />
Habari ya leo wapendwa.
Nimemuuliza mshkaji kinaga ubaga kama ana custody za kumlea huyo mtoto na akanielezea mtiririko mzima. Jamaa baada ya kuripoti polisi kuwa kaachiwa mtoto, walijadiliana na polisi & walikubaliana kwamba amchukue amtunze na alitakiwa kupeleka report za maendeleo ya mtoto on a weekly basis kwa wk6 mfululizo na alifanya hivo. Baada ya hapo akawa anapeleka report monthly hadi hapo huyo anaejiita mama mtoto alipotokea. So huyu kijana mwenzetu ana legal rights zote za kuwa na mtoto so far kulingana na maelezo yake. Afanyeje?
 
Back
Top Bottom