mzee wa misele
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 366
- 46
Wakuu habarini,
Kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana ila tumezoeana sana kama marafiki tu zaidi miaka minne ananiheshimu sana nifanyaje ili niweze kumpata awe mke wangu?
Naogopa anaweza kukata mawasiliano na mimi nikamkosa kabisa, namhitaji wakuu nifanyaje sitaki kumkosa?
Kuna mwanamke nimetokea kumpenda sana ila tumezoeana sana kama marafiki tu zaidi miaka minne ananiheshimu sana nifanyaje ili niweze kumpata awe mke wangu?
Naogopa anaweza kukata mawasiliano na mimi nikamkosa kabisa, namhitaji wakuu nifanyaje sitaki kumkosa?