Ushauri: Biashara ya Apartments Dar es salaam

kama wewe mwenyewe utasimamia hiyo project (ujenzi) katika kila process unaweza kujenga Nzumba nzuri (family house) na kutokana na hilo eneo unaweza kupata 1m kwa mwezi. kwa maaana hiyo fwedha yako inaweza kurudi baada ya miaka 10 na faida itafata baadae, na lazima ujue ndani ya hiyo miaka kumi lazima kutakuwa na renovations za hapa na pale,
,
Nakubaliana na huyu hii amount kwa family house na rate ya kodi kwa mahali hapo. Lakini pia kama ni investment tu, huitaji baada ya muda kuja kuishi wewe mwenyewe, unaweza jenga apartments simple not ensuite, jaribu kuchora simple design unayotaka na uwaonyeshe wataalamu wa hapa bongo watakupa cost inayohitajika, au ushauri wa design nyingine, keeping in mind viwango vya kodi walivyokutajia hapo juu. Ila option ya ofisi sahau kwa hilo eneo lako halifai.
 
Kiwanja cha 500sqm ni kidogo sana kwa apartments ..yaani kutakuwa hakuna hata sehemu ya bustani au parking n.k. Mimi kwa kushauri naona ujenge ofisi ..anza na mbili (kwa pesa uliyokuwa nayo). Usijiingize kwenye project kubwa halafu ukaishiwa na pesa....utabakia kuwa na gofu ambalo haliingizi pesa yoyote. Halafu ofisi ..nyumba zinabaki kuwa kwenye hali nzuri kwa muda mrefu
Watu wanatafuta sana ofisi nje ya mjini..na hapo kwako ni IDEAL
 
Kiwanja cha 500sqm ni kidogo sana kwa apartments ..yaani kutakuwa hakuna hata sehemu ya bustani au parking n.k. Mimi kwa kushauri naona ujenge ofisi ..anza na mbili (kwa pesa uliyokuwa nayo). Usijiingize kwenye project kubwa halafu ukaishiwa na pesa....utabakia kuwa na gofu ambalo haliingizi pesa yoyote. Halafu ofisi ..nyumba zinabaki kuwa kwenye hali nzuri kwa muda mrefu
Watu wanatafuta sana ofisi nje ya mjini..na hapo kwako ni IDEAL

Ofisi kwa hilo eneo hapana, pia nadhani kiwanja hicho kitakuwa ndani kidogo.
Maeneo haya ya barbara ya New bagamoyo road kwa sasa majengo mapya ni mengi maghorofa ofisi ni nyingi mno ni bora ajenge nyumba za kawaida tu za kupanga atapata wateja ila apunguze bei.

Mana sasa hivi self ndogo ya chumba na sebule , choo, bafu na jiko ni laki 2 na nusu mpaka tatu.
 
jihadhari na office development cause there's already an over supply of office space. by next year there will be no demand for office space.
 
Wadau naomba nishukuru kwa mawazo mazuri mlioyatoa mpaka sasa.

Jambo moja nakubaliana nalo, mazingira ya pale kiwanja kilipo (mtaa wa pili kutoka main road) na miradi ya majengo mbalimbali kwenye New B'moyo Road, hapafai kujenga ofisi.

Ether, Mama Joe, Joyceline

Ahsanteni kwa ushauri wenu. Nakubaliana na Ether 100% kuhusu kuchukua mkopo katika mazingira ya sasa. Sio tu kwamba naogopa mikopo ila tayari nimewekeza fedha nyingi kununua kiwanja na tayari nina mtaji kidogo (Shs 100 Mil) ya kuanza mradi. Ugumu unakuja hapo kwenye aina ya mradi, na ndio sababu kubwa nipo hapa JF; iwapo nitapata wazo la mradi mzuri kwenye hili eneo nina uhakika marudisho ya mtaji yatakuwa mazuri bila kutegemea benki yoyote.




 
Mkuu jipinde uongeze dau angalau uwe na 200mil ndo unaweza ukajenga kitu cha ukweli na uhakika uvune $500-600 kwa mwezi.
 
Pesa ulizonazo hazitoshi. kwa kifupi gharama ya kujenga good apartment per square metre ni US$500. Hiki ni kiwango cha chini. Kwa pesa ulizonazo unaweza kujenga 151.5 sq.m. Ukubwa huu ni kama apartment moja. Unaweza kupata rent ya mpaka US$700 kwa apartment kwa mwezi.

Kiwanja chako si kikubwa lakini with good Architect unaweza kupata a nice block of flats with parking area on ground floor.

Ili kuweza kufikia lengo lako usiogope kuchukuwa mkopo. Watu wengi waliopata maendeleo katika Real estate wamekopa.

Kwa Location yako na ukubwa wa plot office development haitofanya vizuri katika soko. Vile vile katika office unahitaji parking za kutosha walau kila 100 sq.m uwe na parking 1. Hivyo office development is not viable.
 
Ndio Mr. Yebo yebo,
Mimi ni Architect, (Msanifu majengo).
Naomba nami nichangie kidogo.
Kwa mtaji wa 200ml, si mdogo sana itategemea na design ya ramani utakayopendekeza kuchorewa. Hii itategemea aina ya apartment utakoyopendekeza.
ktk jengo hilo hilo unaweza ukaweka apartment za aina tatu tofauti au mbili.
apartment (vyumba 2, kimoja chaweza kuwa na choo, Dining, jiko, sebule , choo na kastoo. )

Mfano kama apartment zina ukubwa wa mita za eneo 40 hadi 80, nikichukua wastani apartment moja itakuwa na s.q.m 60,

Kwa sasa hapa Dar (Tz) 1 sqm=~350$ , au Tshs. 400,000/= ikiwa ni gharama za materials ,kuchora na wataalamu wote ikimjumlisha pia mjenzi.
Tshs. 400,000x60 sqm = Tshs. 24,000,000mil kwa apartment moja roughly.

Kwa hiyo apartment moja yaweza kugharimu kama 24mil. hivi.
Ktk Mil. 200 /24.0 mil. ~=8
apartment 8, labda tano za 500$ na tatu ni za 600$ rent.

Mwaka wa kwanza utapata kama ifuatavyo
5 apartments x 500$ = 2,500$
3 apartments x 600$ = 1,800$
JUMLA = 4,300$ kwa mwaka wa kwanza

Unaweza kuendeleana Mchanganuo zaidi.
architectmadai@yahoo.com
 
Yebo Yebo-Jibu la maswali yako yote kakupa Pundamilia07,hapo ndio utaona faida ya apartment au nyuma za kukodisha,kuwa pesa yako utaweza kuitumia unapotaka kwa kuiweka hiyo nyumba kama colateral,lakini kama ulikuwa unafikiri urudishe pesa yako kwa muda mfupi forget about it.
Hiyo pesa yako unaweza kujenga maximum nyumba ya 2 bedrooms(SC),talking room,kitchen.Kama ni vya high quality na kama kiwanja unacho already.
KT
 
Madai, asante kwa kumsaidia mawazo Yebo. Sidhani mambo kama haya unaweza ukapata ushauri kwa yeyote. Unahitaji fani fulani fulani. Bei za apartments maeneo ya Victoria hadi kule Mikocheni TPDC ziko mbali kabisa na maoni ya baadhi yetu hapa. Yumkini $500 ni kiwango cha chini. Ukubwa wa apartments wa juu kabisa haufiki 90sq.m, gharama za ujenzi wa quality ya kawaida na tukitegemea utamtumia kandarasi walau $400 lakiin ningedhani uplan $500. Inawezekana kabisa, usikatishwe nia yako. Important ni kufikiria pia phased development. Ukubwa wa kiwanja ni wa kutosha, ni kiwanja kikubwa karibu mara mbili ya vile vya Sinza. Kariakoo wanajenga viwanja vya 180sq.m. Muwinde architect lakini pia ukitaka, na kama isingekuwa ufinyu wa bajeti ungempata real estate person(property valuer au quantity surveyor) akuandalie write up nzuri ya kuweza kupata financing. Kumbuka sio valuers au qs wote wanaweza kuandika wrtite up huku Bongo. Yapo makampuni sina sababu ya kuyaandika hapa

With 100m waweza kuanza mradi mkubwa na kuutumia huo huo kupata mkopo nafuu wa kumalizia ujenzi.

Kuhusu maeneo yale, matarajio ni makubwa, kwa sasa hivi bado kodi ziko juu sana na hatutegemei zitashuka kwa muda mrefu. Kwa wastani kodi ni $10-14 kwa sq.m kwa mwezi. Andika kule Chuo Kikuu Ardhi watakusaidia information - waulinzie watu wa School of Real Estate Studies.
 
Ndio Mr. Yebo yebo,
Mimi ni Architect, (Msanifu majengo).
Naomba nami nichangie kidogo.
Kwa mtaji wa 200ml, si mdogo sana itategemea na design ya ramani utakayopendekeza kuchorewa. Hii itategemea aina ya apartment utakoyopendekeza.
ktk jengo hilo hilo unaweza ukaweka apartment za aina tatu tofauti au mbili.
apartment (vyumba 2, kimoja chaweza kuwa na choo, Dining, jiko, sebule , choo na kastoo. )

Mfano kama apartment zina ukubwa wa mita za eneo 40 hadi 80, nikichukua wastani apartment moja itakuwa na s.q.m 60,

Kwa sasa hapa Dar (Tz) 1 sqm=~350$ , au Tshs. 400,000/= ikiwa ni gharama za materials ,kuchora na wataalamu wote ikimjumlisha pia mjenzi.
Tshs. 400,000x60 sqm = Tshs. 24,000,000mil kwa apartment moja roughly.

Kwa hiyo apartment moja yaweza kugharimu kama 24mil. hivi.
Ktk Mil. 200 /24.0 mil. ~=8
apartment 8, labda tano za 500$ na tatu ni za 600$ rent.

Mwaka wa kwanza utapata kama ifuatavyo
5 apartments x 500$ = 2,500$
3 apartments x 600$ = 1,800$
JUMLA = 4,300$ kwa mwaka wa kwanza


Unaweza kuendeleana Mchanganuo zaidi.
architectmadai@yahoo.com
Mh? Hiyo ni kwa mwaka au kwa mwezi?
 
Yeboyebo
fanya hivi...
Kwa maeneo kilipo kiwanja kwa sasa hapo Morocco/Ursino South ....development ya 100m ni ndogo sana....fanya longterm leasing (around 20-30yrs)na developers wakubwa ambao wanaweza kuwekeza around 1bilion then kulingana na mtakavyoelewana wanaweza kukupa 50% ya investment upfront,...the remaining say baada ya 10yrs kwa installments....baada ya miaka hiyo kuisha inakuwa property yako....au mnaingia mkataba mwingine...in the meantime,hiyo advance waliyokupa unaendeleza sehemu nyingine...this is exactly what am doing right now thru my company SiteSet RealEstate Agency (kiwanja changu kilikuwa pale karibu na sayansi knyama)...kama unataka maelezo zaidi tuwasiliane
 
Let me tell you people. Nafanya kazi ofisi moja amabayo inapangishia watu wake Apartments,m Jamani it real pays cha kushangaza wahindi ndio wameshikilia soko tena wanalipa kati ya USD 2500 mpaka 3500 per month, ila iwe na kila kitu ndani eg Tv, Vitanda na vitu kama hivyo na house maid na ukifanya calculation ndio inalata hiyo total kwani kila kitu unakodisha. So go on it real pays
 
Yeboyebo
fanya hivi...
Kwa maeneo kilipo kiwanja kwa sasa hapo Morocco/Ursino South ....development ya 100m ni ndogo sana....fanya longterm leasing (around 20-30yrs)na developers wakubwa ambao wanaweza kuwekeza around 1bilion then kulingana na mtakavyoelewana wanaweza kukupa 50% ya investment upfront,...the remaining say baada ya 10yrs kwa installments....baada ya miaka hiyo kuisha inakuwa property yako....au mnaingia mkataba mwingine...in the meantime,hiyo advance waliyokupa unaendeleza sehemu nyingine...this is exactly what am doing right now thru my company SiteSet RealEstate Agency (kiwanja changu kilikuwa pale karibu na sayansi knyama)...kama unataka maelezo zaidi tuwasiliane

..Binafsi nimekuwa nikivutiwa sana na biashara ya Real Estate. Namshukuru YEBO YEBO for bringing this whole dicussion up. ZAMAZAMANI, when I am ready, I'll also contact you. That's why I love JF. JF IDUMU!
 
Last edited:
Ndugu Yebo Yebo,

Ongera kwa wazo zuri ambalo umelianika kwa makusudi ya kupata ushauri naomba niunge mkono wazo la Ndg. Korosho ni vema ukajenga ukapangisha maofisi.

Nawasilisha.
 
SSPhares ushauri wangu kwanza kafanye uchunguzi kumbuka kila mtu anamtizamo wake na ana kiwango chake cha kuhimili risks. Hivyo fanya utafiti tanzania kama hiyo project inalipa au la then ndio ufanye maamuzi. Venginevyo kila mtu atakueleza vile anavyoona mwenyewe na hakuna mmoja anaweza kuwa sahihi. Professor Merton Miller anasema even though there are many probabilistic model of predicting future risks they as academicians cannot predict what the future holds. Hivyo basi kwanza fanya utafiti ndipo uwekeze.


Kila la kheri ndugu
 
rafiki you can build the Apartments you want for the 100mil. tafuta mchoro,look for chinese const.firm,wao wataleta vitu from china direct,wanaleta vitu vingi every month for const.projects,watasimamia ujenzi wako within time frame agreed.
vifaa vya ujenzi in Tz vinapandishwa bei na wenye maduka ya hardware,
 
Back
Top Bottom