:A S cry: Napenda kumshukuru mungu kwa kunijaalia pumzi siku ya leo. dr. ninatatizo linanisumbua nimehangaika sana sasa najaribu kulileta kwako. Dk. mimi ni mweupe wa asili ila tatizo langu ni kwamba uso wangu nimepata alama nyeusi juu ya paji la uso kwenye mashavu na alama hizi nilizipata niliposhika ujauzito wa mtoto hadi leo zinisumbua wkati mwingine zinafifia lakin nikiwa katika siku zangu za mwezi zinakolea kama umewahi kuwaona watu wa kabila la warangi wana alama fulani lakini mimisio mrangi. Nimeenda mpaka kwa docta wa ngozi akaniambia hii inatokea sana kwa watu weupe wanaathirika na mionzi ya jua kwa kua ngozi zao ni lain akaniambia nipake sunblock itaisha mara nipake sonaderm itanisaidia. lakin naona napaka vitu ving zinzondoka halaf inafika kipindi zinarud tana. naomba ushauri wako.​