Ushauri: Ahofia kupoteza ajira yake mpya

Naikuru

Senior Member
Jul 29, 2015
165
223
Kuna dada mmoja ambaye ameolewa na ana watoto wawili tayari, ameitwa kazini kwenye moja ya taasisi za fedha.Hofu yake ni kwamba anaenda kujaza mkataba wakati tayari ana ujauzito wa mwezi mmoja.

Je ujauzito wake hautaleta shida mara baada ya pregnancy complications kuanza? Na je kuna sheria itamlinda na hali yake aliyonayo?
Nawasilisha..
 
Kuna dada mmoja ambaye ameolewa na ana watoto wawili tayari, ameitwa kazini kwenye moja ya taasisi za fedha.Hofu yake ni kwamba anaenda kujaza mkataba wakati tayari ana ujauzito wa mwezi mmoja.

Je ujauzito wake hautaleta shida mara baada ya pregnancy complications kuanza? Na je kuna sheria itamlinda na hali yake aliyonayo?
Nawasilisha..

Employment & Labour relation Act inaelezea vizuri sana suala hili.
 
Labda tatizo ni hapo uliposema pregnance complications kwa maana labda ya kuugua ugua,lakini tofauti na hapo hakuna shida.
 
Kuna dada mmoja ambaye ameolewa na ana watoto wawili tayari, ameitwa kazini kwenye moja ya taasisi za fedha.Hofu yake ni kwamba anaenda kujaza mkataba wakati tayari ana ujauzito wa mwezi mmoja.

Je ujauzito wake hautaleta shida mara baada ya pregnancy complications kuanza? Na je kuna sheria itamlinda na hali yake aliyonayo?
Nawasilisha..

Tena ahakikishe amejaza Mkataba ASP ilikujilinda na uhakiki wa ajira yake! Baada ya hapo haki zake zote kama mama mjamzito ziko pale pale bila kujali ana muda gani ndani ya ajira! Ila anatakiwa kuwa makini sana na kazi zake ili wasije wakamtema kwa kutokumudu kazi during probation time kumbe behind wanakuwa wanasababu zao!
 
Mama watoto ameomba Kazi akiwa mjamzito miezi tano. Amefanya Kazi Kwa weledi lakini Bosi wake kamlaumu Kwa kuomba kazi akiwa mjamzito. Sasa amemtemineti hadi amalize miezi mitatu ndo arudi kama kutakuwa na Kazi nyingineyo.
 
Back
Top Bottom