duh yaaan mie ilikuwa mpaka aibu, nakumbuka nlikuwa o level hak ya nan nlikuwa nakaa usiku prep.... nacheza game badala ya kusoma
umenkumbusha mbali sana, hahahaaaaaaa
duh yaaan mie ilikuwa mpaka aibu, nakumbuka nlikuwa o level hak ya nan nlikuwa nakaa usiku prep.... nacheza game badala ya kusoma
umenkumbusha mbali sana, hahahaaaaaaa
heEeeeeee umenikumbusha mbali sana mkuu tulikuwa tunapeana zamu na my brorth kupanga vitofali mpaka juu tulikua hatujui kuvivunja,tukipanda kwenye basi tukiwa tunaenda mkoani tunakua nacho nikucheza mpaka tunafika kizuri sana hiki ki game
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.