hivi nyie ndugu zetu mnapofiwa na jamaa yenu mnaamua kwenda kumuhifadhi mochwali kwa muda wa wiki mbili mpaka tatu ili mshone suti au mtengeneze t-shirt nakuweka picha ya mfiwa na mbaya zaidi mmeanza na ka mtindo ka kupeleka maiti saloon. Duh!! Mnaboa kwa kweli. Kaburi mnalijengea mnanunua na grovz kwa ajili ya kushikia tu udongo saa ya kuzika kisha kaburi linafunikwa kwa mfuniko??? huyo jamaa aliekufa anaenda kuoza tu kama mnampenda si mge endelea kuishi nae ndani kwenu?? Mazishi yenu yanaboa sana enyi wenye vijisenti uchwala.