Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Ushangiliaji huu mliuonaje? Washikaji walitufunika!
Last edited by a moderator:
Ushangiliaji huu mliuonaje? Washikaji walitufunika!
umeona eeh...? wale jamaa japo walishinda lakini walikiri vitu adhimu vya Simba, wakasema walihisi wanacheza na timu ya huko majuu (Ulaya) jamani Simba ni noooooooma......Kufungwa tumefungwa lakini vyenga twawala yakhe sisi Simba tuko juu bana tumepata nafasi nane tumepiga bao mbili wenzetu wamepata nafasi 3 wamepiga bao 3,lakini pia tunatarajia tupate ushindi wa kwenye stuli baada ya kukata rufaa
hata mimi ningekuwepo ningeshabikia Tp Mazembe....bonge la sebene....usipime
umeona eeh...? wale jamaa japo walishinda lakini walikiri vitu adhimu vya Simba, wakasema walihisi wanacheza na timu ya huko majuu (Ulaya) jamani Simba ni noooooooma......
Itakuwa computer yako mzee, mbona kuna video clip?Mkuu nilitegemea kuona still pic. sasa unasema huu then hamna kitu
Wa kujilaumu ni wao wenyewe, they had all the chances!! Wameniudhi kweli!Na ubingwa wa bara huooo umeyeyuka as well.
Ushangiliaji huu mliuonaje? Washikaji walitufunika!