Kamaka
JF-Expert Member
- Jun 7, 2010
- 563
- 33
Mzee mmoja alikwenda na mtoto wake kwenye ghorofa moja la shirika la bima..
Walipofika
mtoto : Akaanza kumuuliza baba hii nini (huku akimuonesha lifti ya ghorofa)
mzee : Mwanangu sijawahi kuona kitu kama hiki maishani mwangu!!!!!!
baadaye kidogo,
akaja kikongwe mmoja kwenye baiskeli akabonyeza vitufe vya mlangoni.
Baadaaye mlango ukafunguka,akaingia ndani,mlango ukajifunga.
Namba zikaanza kujiandika 1,2,3,4.... N.k
baada ya muda mzee na mtoto wakiendelea kuangalia namba zikipanda zikaanza kushuka kuanzia 7,6,5,4,3,2,1.
Mlango ukafunguka mara akatoka binti mmoja mrembo....
mzee akastajabu sana akamuambia mtoto wake kimbia nyumbani kamlete mama yako!!!!!!!!!!!!
Walipofika
mtoto : Akaanza kumuuliza baba hii nini (huku akimuonesha lifti ya ghorofa)
mzee : Mwanangu sijawahi kuona kitu kama hiki maishani mwangu!!!!!!
baadaye kidogo,
akaja kikongwe mmoja kwenye baiskeli akabonyeza vitufe vya mlangoni.
Baadaaye mlango ukafunguka,akaingia ndani,mlango ukajifunga.
Namba zikaanza kujiandika 1,2,3,4.... N.k
baada ya muda mzee na mtoto wakiendelea kuangalia namba zikipanda zikaanza kushuka kuanzia 7,6,5,4,3,2,1.
Mlango ukafunguka mara akatoka binti mmoja mrembo....
mzee akastajabu sana akamuambia mtoto wake kimbia nyumbani kamlete mama yako!!!!!!!!!!!!