Jamaa mmoja toka kijiji fulani wilayan ngara mkoan kagera aliingia bank huku akiwa ameshka spana,alipohojiwa na walinzi kuhusu kuingia na spana bank,akajibu anataka kufungua account..bac wateja wote 2kawa hoi kwa vicheko..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.