RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Nimeanzisha thread hii nikitazamia tutafaidika wengi kwa kuwa makini na huu uchuro na uchafu wa feki zinazosambaa nchini ambazo zinaweza kuwa na madhara makubwa kwa sisi au vizazi vijavyo. Hapa chini waweza orodhesha feki uliyokutana nayo(sio kusikia i beg) ikiwezeka na na nmahali uliponunua, TFDA na TBS kama wanapita huku tutakuwa tumesaidia kuokoa jamii kwa kiasi fulani.
Mimi naanza na hii
1. Sabuni za kuogea za Dettol- shoprite, ukioga utadhani wewe ni mchafu kweeli kweli kumbe lisabuni limetiwa rangi ya njano na harufu siku ya kwanza basi!
2. Biscuit eat sum more
3. Colgatte tooth paste(ilikuwa ukiswaki ndo unakuwa na harufu mabaya bora kutoswaki kuliko kuitumia)
.
.
.
..
.
.
.
endeleeaa...
Mimi naanza na hii
1. Sabuni za kuogea za Dettol- shoprite, ukioga utadhani wewe ni mchafu kweeli kweli kumbe lisabuni limetiwa rangi ya njano na harufu siku ya kwanza basi!
2. Biscuit eat sum more
3. Colgatte tooth paste(ilikuwa ukiswaki ndo unakuwa na harufu mabaya bora kutoswaki kuliko kuitumia)
.
.
.
..
.
.
.
endeleeaa...