ushakumbana na bidhaa feki?

RealTz77

JF-Expert Member
May 18, 2009
738
40
Nimeanzisha thread hii nikitazamia tutafaidika wengi kwa kuwa makini na huu uchuro na uchafu wa feki zinazosambaa nchini ambazo zinaweza kuwa na madhara makubwa kwa sisi au vizazi vijavyo. Hapa chini waweza orodhesha feki uliyokutana nayo(sio kusikia i beg) ikiwezeka na na nmahali uliponunua, TFDA na TBS kama wanapita huku tutakuwa tumesaidia kuokoa jamii kwa kiasi fulani.
Mimi naanza na hii
1. Sabuni za kuogea za Dettol- shoprite, ukioga utadhani wewe ni mchafu kweeli kweli kumbe lisabuni limetiwa rangi ya njano na harufu siku ya kwanza basi!
2. Biscuit eat sum more
3. Colgatte tooth paste(ilikuwa ukiswaki ndo unakuwa na harufu mabaya bora kutoswaki kuliko kuitumia)
.
.
.
..
.
.
.
endeleeaa...
 
Nimeanzisha thread hii nikitazamia tutafaidika wengi kwa kuwa makini na huu uchuro na uchafu wa feki zinazosambaa nchini ambazo zinaweza kuwa na madhara makubwa kwa sisi au vizazi vijavyo. Hapa chini waweza orodhesha feki uliyokutana nayo(sio kusikia i beg) ikiwezeka na na nmahali uliponunua, TFDA na TBS kama wanapita huku tutakuwa tumesaidia kuokoa jamii kwa kiasi fulani.
Mimi naanza na hii
1. Sabuni za kuogea za Dettol- shoprite, ukioga utadhani wewe ni mchafu kweeli kweli kumbe lisabuni limetiwa rangi ya njano na harufu siku ya kwanza basi!
2. Biscuit eat sum more
3. Colgatte tooth paste(ilikuwa ukiswaki ndo unakuwa na harufu mabaya bora kutoswaki kuliko kuitumia)
.
.
.
..
.
.
.
endeleeaa...


Men!!! This is the high time we should come and Advise TBS how they should be working. kama ni staff ndo wachache kuna watu wengi sana mtaani hawani kazi. my worry is.... Toa kitu kidogo uendelee kuuza bidhaa feki!!
Hii nchi Bana!! Ngrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!
 
Men!!! This is the high time we should come and Advise TBS how they should be working. kama ni staff ndo wachache kuna watu wengi sana mtaani hawani kazi. my worry is.... Toa kitu kidogo uendelee kuuza bidhaa feki!!
Hii nchi Bana!! Ngrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!

naamini vfo, magonjwa na mambo mengi yanatupata wananchi kwa kutumia bidhaa feki zisizojali ubinadamu, hapa hela tuu, TBS worse worse damn they are stinking, TFDA(bora kidogo) japo sifahamu control zao zipoje na zinafanyaje kazi kama wanaintercept ubovu wa bidhaa after two yrs sokoni!!
 
Nimeanzisha thread hii nikitazamia tutafaidika wengi kwa kuwa makini na huu uchuro na uchafu wa feki zinazosambaa nchini ambazo zinaweza kuwa na madhara makubwa kwa sisi au vizazi vijavyo. Hapa chini waweza orodhesha feki uliyokutana nayo(sio kusikia i beg) ikiwezeka na na nmahali uliponunua, TFDA na TBS kama wanapita huku tutakuwa tumesaidia kuokoa jamii kwa kiasi fulani.
Mimi naanza na hii
1. Sabuni za kuogea za Dettol- shoprite, ukioga utadhani wewe ni mchafu kweeli kweli kumbe lisabuni limetiwa rangi ya njano na harufu siku ya kwanza basi!
2. Biscuit eat sum more
3. Colgatte tooth paste(ilikuwa ukiswaki ndo unakuwa na harufu mabaya bora kutoswaki kuliko kuitumia)
.
.
.
..
.
.
.
endeleeaa...

Jamani, Vifaa vyote vya umeme sasa hivi ni feki, ukianzia kwenye extension cables, sockets, etc
 
Samahani jamani hivi hizi fake fake zitatufikisha wapi wahusika wanaodhibiti hizi bidhaa wako wapi???????
au watashtuka tuukianza kuzaa BINADAMU FAKE..!
Tuelezane ukweli manake tunavyokula ni fake,kuvaa fake,vya kuogea fake,viburudisho vya mwili fake,condoms fake,wanakuza makalio fake kila kitu fake,fake,fake fake mpaka wapi wajameni.!?? mi nasubiri kwa hamu kubwa kusikia dada zetu wamejifungua huko mahospitalini watoto fake..1
 
Samahani jamani hivi hizi fake fake zitatufikisha wapi wahusika wanaodhibiti hizi bidhaa wako wapi???????
au watashtuka tuukianza kuzaa BINADAMU FAKE..!
Tuelezane ukweli manake tunavyokula ni fake,kuvaa fake,vya kuogea fake,viburudisho vya mwili fake,condoms fake,wanakuza makalio fake kila kitu fake,fake,fake fake mpaka wapi wajameni.!?? mi nasubiri kwa hamu kubwa kusikia dada zetu wamejifungua huko mahospitalini watoto fake..1

teheee watoto fake kibao siku hizi,hujawaona?
 
Samahani jamani hivi hizi fake fake zitatufikisha wapi wahusika wanaodhibiti hizi bidhaa wako wapi???????
au watashtuka tuukianza kuzaa BINADAMU FAKE..!
Tuelezane ukweli manake tunavyokula ni fake,kuvaa fake,vya kuogea fake,viburudisho vya mwili fake,condoms fake,wanakuza makalio fake kila kitu fake,fake,fake fake mpaka wapi wajameni.!?? mi nasubiri kwa hamu kubwa kusikia dada zetu wamejifungua huko mahospitalini watoto fake..1

Ushindwe na ulegee....
 
Back
Top Bottom