jamani mi nashauri habari ya uchaguzi tuachane nayo.
wengine tunapata hasira sana lkn ndo hivyo hatuna la kufanya.
Lakufanya lipo, mwanamapinduzi huwa hakati tamaa mapema, na kama tusipochukua hatua sasa 2015 hawa jamaa watarudia upuuzi huu. Tutaandamana, tutakaa vikao, tutajadili mpaka kieleweke. Ni bora kufa tumesimama kuliko kuishi tukiwa tumepiga magoti. Ulimwengu mzima unatakiwa ujue kuwa ccm wameiba kura.