Watu wamepiga kelele sana na kumponda Dr Slaa kuwa anaongopa kuhusu wizi na udanganyifu kwenye kujumlisha matokeo ya uraisi.
Ushahidi wazi kuwa matokeo ya kura haya ni ya uongo ni huu hapa:
Waosha vinywa pingeni na hili pia
Ushahidi wazi kuwa matokeo ya kura haya ni ya uongo ni huu hapa:
matokeo yaliyotangazwa na NEC
.................................MZIRAY KIKWETE SLAA....... LIPUMBA... RUNGWE MGAYWA DOVUTWA SPOILT..... Total
GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
Waosha vinywa pingeni na hili pia