Ushahidi wa serikali yetu kufilisika huu hapa

Ni aibu kubwa kwa serikali ya nchi kuwa waongo.Nilimwamini sana raisi alipoamuru kuwa kuanzia sasa hataki kuona watumishi waliopanda madaraja wakicheleweshewa malipo yao.Ni mwaka 1 sasa mimi pamoja na mamia ya watumishi ktk halmashauri jiji Mwanza,tunalipwa mishahara ya zamani,tunapofuatilia tunaambiwa majina yako hazina tangu mwaka jana
 
Wakati watumishi wakipokea mishahara ambayo haijatimia, ccm (Steven Wassira) wanadai kazi yao kubwa kwa sasa ni kushinda uchaguzi wa 2015, kaaaaaaaaaaazi kwelikweli.
 
Katika siku za hivi karibuni tumeshuhudia serikali ikikwama kuendesha shughuli zake kwa madai kuwa hakuna fedha. Shughuli zilizokwama ni pamoja na kutoajiri walimu waliohitimu mafunzo ya ualimu, kufanya maandalizi ya mtihani wa kidato cha pili na darasa la nne kwa wahusika kujitolea, kuendesha kesi, kuchelewesha mishahara kwa baadhi ya watumishi wake, nk,nk.

Swali la kujiuliza ni kwamba serikali imeshindwa kukusanya kodi au ni hujuma kwa Rais Kikwete kutoka kwa baadhi ya watendaji ili ionekane kwamba ameshindwa kuongoza nchi?
 
Nani wa kumhujumu, kama umeme hakuna nani anazalisha, hakuna export, misaada ndi hiyo wanataka wanaume tuoane ndio watupe
 
Rais kikwete alianza kuhujumiwa sikua nyingi tangu 2008.Wanaomhujumu wamo serikalini na ktk chama chake.amekuwa akipewa taarifa za uongo hivyo kumpelekea kuonekana kituko kwa watz.Baada ya kuonekana anagusa mafisadi hapo hujuma ndo zilianza.Mafisadi wamekuwa wakitumia wapinzani kama vipaza sauti vyao kumkaba koo Kikwete,wamekua wakitoa siri za serikal kwa kushirikiana na maafisa wa serikali.jambo la maana ni kumuunga mkono RAIS wetu na sio kumkatisha tamaa kwa kumpinga kumbe anahujumiwa.ndg zangu vita dhidi ya rushwa ni vibaya sana kuliko ugonjwa wa ukimwi.
 
Rais kikwete alianza kuhujumiwa sikua nyingi tangu 2008.Wanaomhujumu wamo serikalini na ktk chama chake.amekuwa akipewa taarifa za uongo hivyo kumpelekea kuonekana kituko kwa watz.Baada ya kuonekana anagusa mafisadi hapo hujuma ndo zilianza.Mafisadi wamekuwa wakitumia wapinzani kama vipaza sauti vyao kumkaba koo Kikwete,wamekua wakitoa siri za serikal kwa kushirikiana na maafisa wa serikali.jambo la maana ni kumuunga mkono RAIS wetu na sio kumkatisha tamaa kwa kumpinga kumbe anahujumiwa.ndg zangu vita dhidi ya rushwa ni vibaya sana kuliko ugonjwa wa ukimwi.


Kama umegundua kuwa JK anaonekana kituko mbele ya watz basi akili yako sahihi imeanza kurudi.
 
A
Rais kikwete alianza kuhujumiwa sikua nyingi tangu 2008.Wanaomhujumu wamo serikalini na ktk chama chake.amekuwa akipewa taarifa za uongo hivyo kumpelekea kuonekana kituko kwa watz.Baada ya kuonekana anagusa mafisadi hapo hujuma ndo zilianza.Mafisadi wamekuwa wakitumia wapinzani kama vipaza sauti vyao kumkaba koo Kikwete,wamekua wakitoa siri za serikal kwa kushirikiana na maafisa wa serikali.jambo la maana ni kumuunga mkono RAIS wetu na sio kumkatisha tamaa kwa kumpinga kumbe anahujumiwa.ndg zangu vita dhidi ya rushwa ni vibaya sana kuliko ugonjwa wa ukimwi.
Acha pumba wewe. Hao wala rushwa ni nani anaopambana nao? Mbona hatuwaoni wala rushwa mahakamani kama akina Manchi, Rostam, Chenge, Zakia Menji, Msekwa nk? Sasa kama wala rushwa hawapelekwi mahakamani anapambana nao kwa jinsi gani?
 
Ametumia Pesa nyingi kwenye Kampeni na matumizi mengine binafsi.


Kutumia hela nyingi za wafanyabiashara kwenye kampeni sasa hivi hawezi kuwa-monitor hivyo wanajipandishia bei jinsi wanavyotaka. Sasa hivi inabidi atangaze live kuporomoka kwa uchumi Tanzania, lakini kila mwezi wanatangaza uchumi umekua kwa asilimia...... huku hali ikizidi kuwa mbaya.

Kinachowadanyanya ni Jumla ya vikodi vinavyokusanywa kila mwezi, hivi wanataka jumla ya kodi iliyokusanywa tukiwa na watumishi labda 500,000 ilingane na ile wakati wakiwa 300,000 au 250,000. Lazima jumla ya kodi iongezeke na matumizi sasa yameongezeka maradufu. Ila kinachoongelewa ni jumla ya makusanyo na kuanza kuwadanganya WaTZ!
 
Rais kikwete alianza kuhujumiwa sikua nyingi tangu 2008.Wanaomhujumu wamo serikalini na ktk chama chake.amekuwa akipewa taarifa za uongo hivyo kumpelekea kuonekana kituko kwa watz.Baada ya kuonekana anagusa mafisadi hapo hujuma ndo zilianza.Mafisadi wamekuwa wakitumia wapinzani kama vipaza sauti vyao kumkaba koo Kikwete,wamekua wakitoa siri za serikal kwa kushirikiana na maafisa wa serikali.jambo la maana ni kumuunga mkono RAIS wetu na sio kumkatisha tamaa kwa kumpinga kumbe anahujumiwa.ndg zangu vita dhidi ya rushwa ni vibaya sana kuliko ugonjwa wa ukimwi.
kama tangu 2008 hajajua kama anahujumiwa anafaa kuwa rais kweli? Kama anajua na hajachukua hatua anafaa kuwa rais kweli?
 
Atahujumiwaje wakati kawateua yeye? Tatizo ni ukubwa wa serikali, matumizi yanaongezeka, kugawa mikoa na wilaya, kunaongeza matumizi. Posho za vikao ambavyo ni wajibu wa mwajiriwa, inaongeza matumizi. Kutenga bilions kukarabati Ikulu kila mwaka, Kukosa usimamizi mzuri wa fedha za umma(wizi), ni baadhi ya mambo yanayochangia.
Kuna suala la ukusanyaji wa mapato, wafanya biashara wakubwa na wawekezaji wanapewa misamaha ya kodi, sekta ya madini kutokuchangia kipato ipasavyo kutokana na 4% serikali inayodai inapata ingawa Barrick wanasema bado kodi ni 3% hiyo ya 4% bado mazungumzo yanaendelea.

NIkiendelea hapa sitomaliza, maana kuna wanafiki wengine wanajidai kupiga vita ufisadi kumbe wao wenyewe wanakalia nyumba za serikali hata baada ya utumishi wao kwisha, na pia kujenga ofisi ya spika kwao wakati hatokuwa spika milele.

Kwa ufupi hakuna hujuma, serikali imeoza.
 
Back
Top Bottom