Ushahidi wa serikali yetu kufilisika huu hapa

zis iz now too machi... nilikua ktk flolen leo ya NMB.. nikasikia watu wanalizungumza hili.. sikuelewa ni nini.. dada m1 namnukuuu akasema ni nchi nzima.... hapa ndo nimeelewa.. Tumekwisha
 
Mi sielewi nini kinachoendelea. Kasimu kangu hakazum jamani!

Mkuu pole sana!, kinachoendelea ni kwamba kuna bandiko limepigwa picha huko Geita kwamba msharahara umekuja dusko, kwahiyo wafanyakazi wasubiri salaryslip ya mwezi october kuonyesha upungufu huo...so kiaina gava yetu haina mshiko sasahivi.
 
Duh! Serikali yetu bana, sasa kipi kinatangulia salary slip au mshahara wenyewe??????? How do you pay someone kabla ya salary slip!!!! Hii yote ni dalili ya ubabaishaji!
 
Mkulo amekuwa kama aliyekuwa msemaji wa serikali ya Iraq wakati Saadam akiwa vitani na Marekani,sasa nyie mlitaka aseme siri za sirikali
 
Huo ndio ushahidi wa serikali kufilisika kweli? Haiwezi ikawa ni makosa tu kwenye mfumo wa ulipaji?
Haiwezekani kukawa na makosa kwenye mfumo wa ulipaji nchi nzima. Tatizo hilo lipo halimashauri zote za Tanzania.
 
Walikwapua mapesa yote (mabilioni) na kutumia katika kuchakachua uchaguzi 2010, sasa nchi imefilisika. Ingekuwa raha sana kama wanaoanza kukosa mishahara ni watu wa juu Kikwete, Pinda, Mawaziri wote na Wabunge.
 
nimeipenda , lakini pole leo mmekula 5. pole mwana jf mwenzangu.......na wengine wa timu yako walioko humu jf. na nje ya jf na hata walio ccm cuf tlp na mengineyo
hivi unazani kupiga picha na member wa G-UNIT unazani mchezo..na bado anampango we kupiga picha na mesi,pedro na ballotel..
 
Ni mahali pazuri pa kuanzia vuguvugu la mabadiliko. Wafanyakazi wa serikali za mitaa wamekuwa wakitumiwa na serikali kukandamiza demokrasia. Sasa wataelewa machungu ya serikali legelege ya ccm!
 
Mbona sana tu,wamefikia hadi kudharau pesa yao na kuruhusu watanzania watumie dola (USD) kwa matumizi ya kawaida. Wito wangu kwa wenye pesa za kitanzania wakazichenji mapema ili wazitunze katika US$ vinginevyo mtaumbuka mbele ya safari. Angalia barua hii ya BoT;
 

Attachments

  • Scan.pdf
    339.2 KB · Views: 86
Zitto Kabwe alishawahi kulisema hili, Mkulo akafyata. Sasa leo kuna ushahidi tumeudaka huko mikoani. Naomba kuwasilisha:
298300_235711069822806_100001517431958_656545_872221945_n.jpg


Nadhani haukuelewa ,taatizo halikuwa pesa , inaonekana kulikuwa na makosa yawezekana katika mfumo wa Compyuta na vitu kama hivyo usipotoshe watu. Kati ya Serikali ambayo imejitahidi kujali watu wake na hasa suala a kuwahisha mishahara.
 
Serikali inaweza kufilisika.Na ya kwetu isipofilisika ntashangaa sana!Hapo chini ni bandiko langu ambalo niliposti kwenye thread nyingine yenye kufanana kimaudhui na hii hapa....
Nilshawahi kusema matatizo yetu yote sababu kuu ni moja tu,nayo ni umasikini,ambao hata hivyo kiongozi wetu mkuu kasema hajui unatokana na nini.Binfasi nimegundua kuwa hatuwezi kuondoka kwenye hii nightmare kama tusipo declare kuwa umasikni ndo adui yetu nambari wani.Ukweli ni kwamba, uncertainity about future value of our domestic currency is always there due to our excessive poverty.

Hilo linasababisha nonfinancial firms,banks pamoja na serikali yenyewe ku issue debt dominated in foreign currency ie US dollars rather than domestic currency.

This also leads to decline in the price level.Kwa hiyo unaweza kuona kuwa,kwasababu mikataba ya madeni yetu iko dominated in foreign currency,and when the domestic currency declines,then the debt burdens of domestic firms increases.

Na since uwezekani mkubwa ni kwamba our ASSETS are typically dominated in domestic currency,balance sheets za makampuni yetu zita detoriate,pamoja na declination of its networth.

Kwanza kabla hata ya financial institutions kuwa na less resources for lending.Bado kuna tatizo kubwa la umeme ambalo lina discourage investments.

Binafsi sijawahi kuamini kwamba uchumi wetu uko hai.

Uchumi wetu una chracteristics zote za depression and even more.Yani hakuna hata jina la kuupa.

Kwasababu tuna act kama nchi yetu inaendeshwa kwa viwanda which is not true,kilimo which is also not true.Kwahiyo kufanya analysis inakuwa ngumu.

Ni uchumi "Shaghalabhagala"

Financial crisis yoyote huanzia stage one ambayo ni mismanagemenent of financial liberization.

Hili kwetu limetokea tulipofungua milango kwa wawekezaji,hii proccess inaitwa "Financial Globalization" Ambapo hata mabenki yetu sasa yanaruhusiwa kukopa kutoka abroad.

Hizi benki zinalipa high interest rates ili kuweza ku attract foreign capital,hivyo hiyo inapelekea wao kukopa zaidi na zaidi.

Hata hivyo mwisho wake si mzuri kwasababu it leads to banks balance sheets deterioration.Hence cutting down on their lending.

Stage ya pili ni currency crisis.

Kutokana na baadhi ya ama yote yanayotokea kwenye stage 1,washiriki wa foreign exchange market wanaona kuwa wana opportunity kwani wanaweza kutengeneza faida kubwa sana tu just kwa kutabiri kuwa pesa itashuka thamani hence stage 2 which is currency crisis

Sasa swali linakuja hapa,ni kivipi detoriation ya banks balance sheets inaweza kusababisha currency crisis?

Ukweli ni kwamba serikali hapa inaogopa kufanya kama alivyofanya Mkapa alipokuwa akijaribu kudhibiti mfumuko wa bei.Kwa kupandisha interest rates.

However,kama serikali itapandisha interest rates,then ina maana banks must pay more to obtain funds.

Hili linapunguza faida za benki,which may lead to insolvency.

Kwahiyo hapo benki kuu na serikali wako kwenye dilemna,kama wakipandisha interest rates too much,basi they will destroy the already weakened banks,and if they dont,then that means they can't maintain the value of their currency.

Na kwajinsi ninavyoona,serikali imeamuwa kufuata policy ya devaluation.

Hilo litawezekana only kama benki kuu ita exhaust holdings of foreign currency reserves.

Wakishaishiwa na resources za ku intervine kwenye foreign exchange market,basi hawana njia zaidi ya ku allow devaluation.

Govt Fiscal imbalances pia ni mojawapo ya factors zinazoweza ku trigger financial crisis.Kwasababu zina pelekea kudorora kwa banks balance sheets.Hapa pia fiscal imbalance inaweza ku directly trigger currency crisis.

When govt budget deficits spin out of control,foreign and domestic investors begin to suspect that the country may ot be able to pay back its govt debt and so they will start pulling money out of the country and selling the domestic currency,which can eventually collapse it.

Stage ya 3 ambayo ndiyo full fledge financial crisis inatokea mara baada ya mikataba ya madeni sasa majority yake kuwa in foreign currency ie dollar.

Hili linapekea deni letu kuwa kubwa zaidi in terms of domestic currency!Yani pesa yetu inapozidi kushuka thamani,basi deni letu linapanda in terms of our devalued currency!

That is, it takes more Tz shillings to pay back the dollarized debt!Na kwasababu bidhaa nyingi ziko priced in a domestic currency,thamani ya makampuni haipandi in terms of tz shillings.

Wakati huo huo deni linapanda i terms of tz shillings kwa sababu shilling inashuka thamani.

This leads to depreciation of domestic currency which in turn increases the value of debt relative to assets,hence the declination of the firms networth.This leads to decline in investments and economic activities.Again,binafsi naamini umeme pia unaplay part let alone hizi facts!

Kwa kifupi kwasababu madeni mengi ya kwetu yanashikiliwa kwa foreign currency kama dola,basi pesa yetu inaposhuka thamani,deni lao linapanda in terms of domestic currency yetu licha ya kwamba thamani ya assets inabakia pale pale.

Hili mwshowe hupelekea mfumuko wa bei kama mnavyoona kwasasa.

Kwamba Mkullo atasaidia hapo?Ni kutizama tulipojikwaa.Tatizo ni serikali yote.

Ni lazima tujuwe kwanza asili matatizo yetu kabla hatujataka kuyatatua.
 
Halmashauri hazijapokea pesa za bajet kutoka hazina tangu july, kazi nyingi za halmashauri zimesimama! Selikali kuu imefulia!.
 
Mkulo amekuwa kama aliyekuwa msemaji wa serikali ya Iraq wakati Saadam akiwa vitani na Marekani,sasa nyie mlitaka aseme siri za sirikali
mkuu umenikumbusha ya Tarik Aziz akitangaza kuwa majeshi ya adui yanazidiwa na kurudi nyuma wakati ni kinyume chake, mpaka alipokamatwa na jeshi la upinzani
 
hapo sijaelewa serikali imefilisikaje wadau?

Louis Ottaru,
Ni vugu kuelewa ni vipi serikali imefulia kama ufuatilii kwa umakini kile alichokisema Zitto last time kuhusu serikali kukopa pesa zaidi ya US$ 700 Million (kama sikosei) kutoka Stanbic Bank kwa ajili ya kulipa mishahara.

Hata hivyo, kwa wenzetu ambao hamfanyi kazi serikalini nadhani ni vugumu pia kuoanisha ushahidi huu na yale yanayoendelea serikalini hivi sasa.

Ukweli ni kwamba kwa mwezi huu wa October 2011 serikali imelipa kwa mbinde sana mishahara ya watumishi wake. Kwa mara ya kwanza katika utumishi wangu serikalini this month tumelipwa mshahara tarehe 28 badala ya tarehe 19 hadi 23 kama ilivyozoeleka.

Ukiwauliza wa idara ya mishahara wanakwambia serikali imeshaleta payroll lakini exchequer kwa ajili ya malipo bado haijaleta kwa sababu bado wanaendelea kukusanya fedha. Hata sasa hivi ninavyokwambia OC (Operating Cost) exchequer ya mwezi wa kumi haijaja katika kituo changu cha kazi. Exchequer iliyokuja ni ya mishahara tu.

Pia tunasema serikali imefilisika kutokana na mazoea tuliyoyapata katika serikali zilizotangulia. Mfano wakati wa utawala wa Mkapa, OC zilikuwa zinakuja kwa Quarter tena in advance wakati sasa hivi zinakuja kwa Mwezi. Na zikija ni kidogo sana na saa nyingine haziji kabisa. Ukiwauliza watu wa Hazina wanasema hawana pesa. So kwa nini tusisema serikali yetu imefilisika wakati vitendo vinajionyesha??

Mfano kwa sasa hivi tunakaribia kumaliza nusu ya financial year ya 2011/2012. Nakwambia hakuna idara au taasisi yoyote ile ambayo ikifika tarehe 31 December itakuwa imepewa fedha za nusu ya bajeti yake. Hii ndiyo hoja na huo ndio ushahidi ndugu.

Hata ukitaka tukubali kwamba kuna makosa yametokea kwenye payroll system kwa mwezi huu bado inatakuwa ni vigumu kuturidhisha baadhi yetu maana uzoefu wetu unaonyesha hakuna mwaka ambao matatizo haya yametokea. Na kama yametokea kwa nini watumishi wapunguziwe tu? Iweje hiyo system haikuongeza kwa baadhi yao? Na kwa nini itokee katika sehemu nyingi? Huoni kama ilikuwa ni tactic ya ku-offset deficit ya mishahara kwa mwezi huu ambayo imeshindwa kukusanya?
 
Back
Top Bottom