Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,889
- 32,289
Mjerumani na mtu mweusi ni tofauti. Sasa tusubiri dada zetu kuozeshwa na MBWA, kama wale wajerumani walivyofanya wakati wa Mwinyi. Si mnakumbuka usemi Hapendwi mtu anapendwa MBWA.
Fuatilia vurugu la kikundi huko kinachoua wageni huko Ujerumani. Hawa ni Zaidi ya BARRICK.
Mkuu wangu,
Maneno yako yamenitoa machozi du! Ujerumani ni washenzi sana! Najuta kuijua Chadema