LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
Sababu za ccm kusema chadema wanafadhiliwa na Ujerumani ni kwamba:
1. Viongozi wa chadema wanafanya ziara za mara kwa mara nchini ujerumani. na kwamba lengo la ujerumani ni kuiingiza chadema ikulu ili ipambane na rushwa. chadema wakishadhibiti rushwa, Wajerumani wataingia kuwekeza kwa nguvu maana hivi sasa hawawezi kuweza kutokana na rushwa kuwa kubwa mno. Serikali ya Ujerumani ina sheria kali sana kuhusu rushwa kwa hiyo makampuni yanaogopa mkono wa serikali yao!! ndipo suala ya kuifadhili chadema huanza!!!
Sababu za chadema kusema ccm inafadhiliwa na China pamoja na USA
1.Viongozi wa ccm huchota fedha kutoka china wakati wa kampeni ili washinde uchaguzi. wanaposhinda wanatoa ajira kwa raia wa china katika sekta zote kuanzia professional jobs hadi non professional jobs
2. viongozi wa ccm husaidiwa na USA kutangaza uwepo wa demokrasia na amani. in return wanatoa madini kwa USA.
kutokana na hayo madai ya pande mbili, yupi ni less devil? ccm au cdm?
1. Viongozi wa chadema wanafanya ziara za mara kwa mara nchini ujerumani. na kwamba lengo la ujerumani ni kuiingiza chadema ikulu ili ipambane na rushwa. chadema wakishadhibiti rushwa, Wajerumani wataingia kuwekeza kwa nguvu maana hivi sasa hawawezi kuweza kutokana na rushwa kuwa kubwa mno. Serikali ya Ujerumani ina sheria kali sana kuhusu rushwa kwa hiyo makampuni yanaogopa mkono wa serikali yao!! ndipo suala ya kuifadhili chadema huanza!!!
Sababu za chadema kusema ccm inafadhiliwa na China pamoja na USA
1.Viongozi wa ccm huchota fedha kutoka china wakati wa kampeni ili washinde uchaguzi. wanaposhinda wanatoa ajira kwa raia wa china katika sekta zote kuanzia professional jobs hadi non professional jobs
2. viongozi wa ccm husaidiwa na USA kutangaza uwepo wa demokrasia na amani. in return wanatoa madini kwa USA.
kutokana na hayo madai ya pande mbili, yupi ni less devil? ccm au cdm?