kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Ndugu wana MMU, asanteni sana kwa michango yenu na ushauri wenu mbali mbali ambao mlimpatia kaka yangu juu ya sakata la mke wake katika huu uzi https://www.jamiiforums.com/mahusia...ushahidi-huu-unatosha-kumtia-hatiani-mke.html.
Kaka yangu pamoja na mambo mengine ameufanyia kazi ushauri wenu na wa watu wengine wa karibu, ndugu na jamaaa na viongozi wa dini na amefikia uamuzi mgumu wa kutengana na mke wake. Mpaka sasa wameshatengana na anasubiri taratibu nyingine za kimahakama ili ndo ivunjwe rasmi. Amechoshwa na tabia hiyo ya mke wake. Cha kushangaza siku wanatengana mke hakutoa hata chozi kuonyesha kujuta.
Narudia tena asanteni wote kwa maoni na ushauri wenu Mungu azidi kuwaongoza katika kujenga zaidi ndoa za watu, ingawa kwa hii kwa kweli kuvunjika was inevitable.
Kaka yangu pamoja na mambo mengine ameufanyia kazi ushauri wenu na wa watu wengine wa karibu, ndugu na jamaaa na viongozi wa dini na amefikia uamuzi mgumu wa kutengana na mke wake. Mpaka sasa wameshatengana na anasubiri taratibu nyingine za kimahakama ili ndo ivunjwe rasmi. Amechoshwa na tabia hiyo ya mke wake. Cha kushangaza siku wanatengana mke hakutoa hata chozi kuonyesha kujuta.
Narudia tena asanteni wote kwa maoni na ushauri wenu Mungu azidi kuwaongoza katika kujenga zaidi ndoa za watu, ingawa kwa hii kwa kweli kuvunjika was inevitable.