The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,875
Nafahamu kuna watu wengi wana wehu wa mpira na ushabiki hauna logic
but mimi mwenzenu naona tulipofika kama watanzania au waafrika ni too much
tena ni hatari mno....LIGI YA UINGEREZA hii jamani.......siyo ya kwetu....
unakutana na houseboy ambae hata shule yamsingi hakumaliza
wala aikoneshwa ramani ya dunia akuoneshe england ilipo hawezi...but yuko so sad
kwa sababu arsenal imefungwa.....wamama wauza sokoni wanazungumzia manchester united..
watu hawajawahi hata kufika uwanja wa taifa but wanajua timu yote ya chelsea na wake wa wachezaji wa chelsea..
yaani unakuta mkeo,mama yako mzazi,ndugu zako,rafiki zako,ofisini
mitaani......wanazungumza mechi ya jana mpira......
mbona zamani hatukuwa hivyoo??????
hivi hili halina hasara ya aina yoyote ile kwetu?????????
mimi naona sasa ni too much...
mpaka vijijini watu wanasikitika kufungwa kwa arsenal?
ikwiriri na tandahimba??????/jamaniii
but mimi mwenzenu naona tulipofika kama watanzania au waafrika ni too much
tena ni hatari mno....LIGI YA UINGEREZA hii jamani.......siyo ya kwetu....
unakutana na houseboy ambae hata shule yamsingi hakumaliza
wala aikoneshwa ramani ya dunia akuoneshe england ilipo hawezi...but yuko so sad
kwa sababu arsenal imefungwa.....wamama wauza sokoni wanazungumzia manchester united..
watu hawajawahi hata kufika uwanja wa taifa but wanajua timu yote ya chelsea na wake wa wachezaji wa chelsea..
yaani unakuta mkeo,mama yako mzazi,ndugu zako,rafiki zako,ofisini
mitaani......wanazungumza mechi ya jana mpira......
mbona zamani hatukuwa hivyoo??????
hivi hili halina hasara ya aina yoyote ile kwetu?????????
mimi naona sasa ni too much...
mpaka vijijini watu wanasikitika kufungwa kwa arsenal?
ikwiriri na tandahimba??????/jamaniii