hehe..nao watakuja watasema, 'simba ndo walianza'..tusianze kutajana majina...wote tuna makosa...timu zote (esp. Yanga n Simba)...tubadilike!!!
hapo safi, wamvishe simba iyo chupiii ni saizi yake kabisa ninavyoiona, kiuno kitamtosha icho.
Kaaazi kwelikweli!
Kaaazi kwelikweli!
hizo ndizo shamrashamra za mpira. na huu utani wa jadi ndio msisimko katika soka letu la bongo
Sisi huku nje Ughaibuni tunaita hiyo ni kufuli isiyokuwa na ufunguo hahahahhahah nimecheka kweli leo kuona kufuli nyekundu wachaaa imenikumbusha mbali kweli..View attachment 50213
Kweli mashabiki wa bongo wamepinda