Used photocopy machine kwa bei poa na zipo vizuri

natafuta photocopy machine yenye scaner pamoja na printer


nina machine mbili moja ni canon IR 1600 hii photocopy machine yenye usb port unayoweza kuitumia kama scanner na printer. Bei yake laki sita. Hii ni used but iko katika hali nzuri haina tatizo lolote.

Nyingine ni HP 3 in 1 M series. Hii ni laserjet printer mpya haijatumika na ni printer scanner na copier. Bei yake 250000

nipigie kwenye 0767659145
email alphonce@alphonce.net
 
Hapa ni bei ya used au mpya mkuu! Mie nahitaji used nianzishe project afu ndo nijipange kwa mpya atleast ziwepo mbili!


Used ni nzuri na inavutia kwenye eneo la BEI.

LAKINI unaweza kununua na unaanza na quality mbovu ya copies, pia inaweza hitaji matengenezo mengi na ya mara kwa mara.
Kumbuka kama copies haziko vizuri sana kuna wateja utawapoteza.

Ukinunua machine MPYA unaweza ukakaa nayo MIAKA mingi huku gharama ikiwa ni service za kawaida tu na kubadilisha baadhi ya vifaa ambavyo si bei kubwa sana, lakini wateja watapenda copy zako sana, wanakuwa hata hawawezi kutofautisha original na copy.
 
Hapa ni bei ya used au mpya mkuu! Mie nahitaji used nianzishe project afu ndo nijipange kwa mpya atleast ziwepo mbili!

Used oveerseas, yaani imported. Ukinunua used ikimaanisha aliyetumia ni mbongo............. kuna mashaka labda kama unamfahamu vizuri.
 
Tunauza mashine za photocopy used zilizo katika hali nzuri na ubora..spea zake zipo ..toner pia upo ..na tunatoa warranty ya siku 30, tupo kariakoo mtaa wa lindi na swahili gerezani ..View attachment 278097View attachment 278098View attachment 278100

Offer large stock of used copiers brands CANON and most models, analog and digital. Our machines are in great condition and tested PRICE FROM 550,000 TSHS TO 1,450,000
contact for
whatsapp +255715331233
Or
call +255786443322
mashine za kufungulia office ya stationery zipo karibu ofisini ujipatie vifaa bora na vyenye warranty
New stock availableView attachment 281371View attachment 281372View attachment 281373View attachment 281374
 

Attachments

  • 20150107_162026.jpg
    20150107_162026.jpg
    65.3 KB · Views: 272
  • 20150819_110748.jpg
    20150819_110748.jpg
    74.9 KB · Views: 237
  • 20150819_110817.jpg
    20150819_110817.jpg
    79.2 KB · Views: 229
  • 20150819_110836.jpg
    20150819_110836.jpg
    70.9 KB · Views: 208
  • 20150828_073945.jpg
    20150828_073945.jpg
    86.5 KB · Views: 204
  • 20150828_073956.jpg
    20150828_073956.jpg
    90.2 KB · Views: 192
  • 20150828_074029.jpg
    20150828_074029.jpg
    58.9 KB · Views: 186
  • 20150829_130427.jpg
    20150829_130427.jpg
    96.8 KB · Views: 221
  • 20160117_072059.jpg
    20160117_072059.jpg
    82.5 KB · Views: 239
  • 20160117_072204.jpg
    20160117_072204.jpg
    97.8 KB · Views: 181
  • Screenshot_2015-01-25-12-20-22.png
    Screenshot_2015-01-25-12-20-22.png
    19.7 KB · Views: 181

Attachments

  • 20151015_123138.jpg
    20151015_123138.jpg
    56.2 KB · Views: 197
  • 20151015_123152.jpg
    20151015_123152.jpg
    63.8 KB · Views: 180
  • 20151015_123212.jpg
    20151015_123212.jpg
    62.1 KB · Views: 170
  • 20151015_123304.jpg
    20151015_123304.jpg
    41.1 KB · Views: 183
  • 20151015_123320.jpg
    20151015_123320.jpg
    49.8 KB · Views: 191
  • 20151015_124107.jpg
    20151015_124107.jpg
    50.8 KB · Views: 173
  • 20151102_142910.jpg
    20151102_142910.jpg
    66.5 KB · Views: 176
  • 20160302_152950.jpg
    20160302_152950.jpg
    54.4 KB · Views: 161
  • 20160302_153110.jpg
    20160302_153110.jpg
    54.3 KB · Views: 172
  • 20160302_153118.jpg
    20160302_153118.jpg
    64.4 KB · Views: 183
  • 20160302_153159.jpg
    20160302_153159.jpg
    53.1 KB · Views: 171
  • 20160302_153212.jpg
    20160302_153212.jpg
    57 KB · Views: 182
  • 20160302_153224.jpg
    20160302_153224.jpg
    50.8 KB · Views: 175
  • 20160302_153229.jpg
    20160302_153229.jpg
    48.4 KB · Views: 166
  • DETAILS.jpg
    DETAILS.jpg
    54.2 KB · Views: 174
mwisho wa kusafisha ni picha ni ukubwa gani mkuu

Mwisho wa ukubwa wa picha ni 4x6... hii ni nzuri sana kwa wanaotaka kufanya biashara ya kusafisha picha za passport na sio picha za kawaida..picha za kawaida tumia kusafisha studio kubwa kwa hiki usitumie hakilipi..mana picha kubwa ya 4x6 mteja anaweza kulipa mwisho shs 1000 na wakati huo huo ukisafisha passport picha ambazo mteja atapata picha 8 anaweza kukulipa 4000 mpaka 2500 inategemea na eneo uliopo..karibu asante kwa kuwasiliana.
 
Mwisho wa ukubwa wa picha ni 4x6... hii ni nzuri sana kwa wanaotaka kufanya biashara ya kusafisha picha za passport na sio picha za kawaida..picha za kawaida tumia kusafisha studio kubwa kwa hiki usitumie hakilipi..mana picha kubwa ya 4x6 mteja anaweza kulipa mwisho shs 1000 na wakati huo huo ukisafisha passport picha ambazo mteja atapata picha 8 anaweza kukulipa 4000 mpaka 2500 inategemea na eneo uliopo..karibu asante kwa kuwasiliana.

najihisi amani kufanya biashara nawe mkuu ijapokuwa nipo kwa mkoa pia usichoke kwa maswali yangu
 
Back
Top Bottom