Used PC - Donate to schools

Baba_Enock

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
7,076
2,443
Wakuu,

Ninanzo PIII computers ambazo nimekuwa nikizitumia hapa kwenye shuguli zangu kwa muda sasa. Kutokana na mimi kubadilisha mifumo ya computer, ningependa hizi PIII kuzigawia watoto wa shule kwa ajili ya kujifunzia kwa vitendo.

Je, ni wapi hapa Dar es Salaam naweza kupata "Boxes" kwa ajili ya kufanya "re-Packaging" tayari kwenda kuzi-donate kwenye shule mbalimbali? Ninaongelea zaidi ya PC 50.

Note: Hizi PC zitatolewa bure, na kwahiyo any cost element will be "absorbed" by the donor.

Kwa mawasiliano zaidi tuma email : baba_enock@yahoo.com
 
Mkuu nakupongeza sana kwa uamuzi huo, lakini nina ushauri kidogo.

  1. Hizo pc umezifanyia matengenezo?
  2. Huko unakopeleka umeshafanya mazungumzo na wahusika wameandaa chumba na vifaa?
  3. Angaliza zisijeingizwa kwenye hesabu ya matumizi!
  4. INAWEZEKANA jamani, Millioni moja na nusu unapata P4 refurbished nzuri tu, kutoa ni moyo, tuziwezesheni shule za uswahilini tulizosoma.
 
Mkuu nakupongeza sana kwa uamuzi huo, lakini nina ushauri kidogo.

  1. Hizo pc umezifanyia matengenezo?
  2. Huko unakopeleka umeshafanya mazungumzo na wahusika wameandaa chumba na vifaa?
  3. Angaliza zisijeingizwa kwenye hesabu ya matumizi!
  4. INAWEZEKANA jamani, Millioni moja na nusu unapata P4 refurbished nzuri tu, kutoa ni moyo, tuziwezesheni shule za uswahilini tulizosoma.

Mkuu:

Shule nimepata kumi toka Wizara ya Elimu, Maandalizi (rooms, e.t.c) yako in order, as I mentioned ni bure 100%, zipo katika hali nzuri
 
Wakuu,

Ninanzo PIII computers ambazo nimekuwa nikizitumia hapa kwenye shuguli zangu kwa muda sasa. Kutokana na mimi kubadilisha mifumo ya computer, ningependa hizi PIII kuzigawia watoto wa shule kwa ajili ya kujifunzia kwa vitendo.

Je, ni wapi hapa Dar es Salaam naweza kupata "Boxes" kwa ajili ya kufanya "re-Packaging" tayari kwenda kuzi-donate kwenye shule mbalimbali? Ninaongelea zaidi ya PC 50.

Note: Hizi PC zitatolewa bure, na kwahiyo any cost element will be "absorbed" by the donor.

Kwa mawasiliano zaidi tuma email : baba_enock@yahoo.com

Hongera sana mkuu, nimefurahishwa sana na uamuzi wako. Tunaweza kabisa kusaidia taifa letu lisonge mbele kielimu kulingana na nafasi na uwezo tulizonazo!
 
Back
Top Bottom