Used car import dumping fee

Aluta

Member
Aug 16, 2008
69
3
Habari zenu waungwana, naomba kuuliza kwa mwenye taarifa;Je ni kweli kuwa TRA wamepunguza miaka kuwa gari likiwa ni zaidi ya miaka saba unapigwa penalti?maana zamani nakumbuka ilikuwa ni miaka kumi kwenda juu..tafadhali naomba taarifa
 
Back
Top Bottom