USD 1200 kwa kila Mzanzibari!

Kosa kubwa alilolifanya Marehemu Mzee Karume ni Kuchukuwa Nchi ya Watu Waungwana na Kuwaunganyisha na Watu wasio na Utaratibu wowote. Kwa kosa hilo alilolifanya Karume akiwa sio raia wa Zanzibar leo kwa kipindi kirefu limeleta Maumivu makubwa sana kwa Wazanzibari kwani hivi sasa wamekuwa ni Dhaifu mbele ya Watanganyika.

Zanzibar ilikuwa ni Nchi Kamili ikiwa na KITI chake UN na ikijiongoza kwa kuwahudumia watu wake kwa kila fani kuanzia Elimu, Afya, Ajira na hatukupata Kusikia katika Historia kuwa WAZANZIBARI Walikuwa Omba Omba walijimudu kwa kila kitu, na ndio maana wa wakati huo walisema ZUMARI LIKIPULIZWA ZANZIBAR WALIO KATIKA MAZIWA MAKUU WANACHEZAAA, haya haya kuwa maneno ya mchezo Wakicheza kweli na ndio ikwa sehemu ya HUSUDA Kwa Zanzibar hasa kwa wale waliokuwa na chuki kwa watu wa VISIWA, walijaribu na kufanikiwa kuingiza siasa za Chuki na Fitina na Mwishowe Mgeni kutoka KONGO (KARUME) Akajinyakulia Nchi Njema na kuitumbukiza katika Tanuri la Moto la MUUNGANO.

Hebu iachieni na Muuone kwani hizio sababu za Kijinga kuwa Watauuwana kati ya Unguja na Pemba zinaukweli gani? Waliouwa watu wa Visiwa hivi wapatao 13000 ni kutoka bara na Waliletwa na Julius Nyerere, Kambona, John Rupia, Rashid Kawawa, hawa ndio Waandalizi wa Mapinduzi ya Mauaji kwa Zanzibar, nani asie juwa kama hamjui tunakujuilisheni kuwa Kilichotokea Zanzibar tarehe 12.1.1964 sio MAPINDUZI NI MAVAMIZI yaliosimamiwa na JULIUS NYERERE akimtumia MKONGO ABEID KARUME na WATANGANYIKA na ndio maana wakatunzwa kuwa MEMBA WA BARAZA LA MAPINDUZI LA MWANZO nao ni

ABDALLAH SAID NATEPE
KANAL SEIF BAKARI

HASSAN NASSOR MOYO
JOHN OKELLO
SAID WASHOTO
KHAMIS DARWESHI
KHAMIS HEMEDI NYUNI
ABDULLA KASSIM HANGA
SALEH SADALLA
ABDUL AZIZ TWALA

MAVAMIZI ya Zanzibar ni Uchafu mtupu na ni udhalimu wa hali ya juu kwa Taifa Dogo lililokuwa likiendelea kwa Kasi dhidi ya TAIFA Kubwa lilokuwa halina DIRA WALA MUELEKEO matokeo yake ni haya tunayoyaona na kuyashuhudia hivi sasa.

ZANZIBAR IACHWE PEKE YAKE NA MUUONE TENA ZUMARI LITAKAVYO PULIZWA MTACHEZA NYOTE

Visiwani wakianchwa wenyewe ni taabu tu tupu!

Hizi chuki zinavyumilika ndani ya Muungano na sii tofauti!
 
Tupatie tafiti zako zinazopingana na hoja za Malyamkono.

Social issues hazina jibu la 1+1=2. Ndio maana tafiti zinaweza kutoa mwelekeo fulani tofauti na kinachoendelea on the ground au kitakachotokea hapo baadaye.
 
"But according to the authors of the book, there is no denying that
it is Zanzibar that needs the union the most.

Maliyamkono warns that dissolution of the union would be
economically disastrous to Zanzibar."


Huo ni upotoshaji wa hali ya juu. Anataka kutuaminisha kuwa Zanzibar haiwezi kusimama peke yake kama Taifa bila kuwa ndani ya Muungano? Du! I can not buy that idea. Hata kama mimi ni mtu wa bara I believe for sure that Maendeleo ya Zanzibar yamecheleweshwa kwa kuwa ndani ya Muungano. Kadri umaskini unavyoongezeka bara ndivyo unavyosambaa mpaka visiwani. Mbona visiwa vya sychelles na Mauritius vina mazingira kama ya Zanzibar havijaungana na nchi yoyote na bado vinapeta kuichumi? Tafiti zingine hufanywa kuwaridhisha wale waliowapa tenda ya kufanya hizo utafiti. Tusichukulie tafiti for granted lazima ziwe subjected to scrutine.

Mwenzako Malyamkono anatumia matokeo ya utafiti wake (na wataalamu wengine) wa miaka miwili kusema anachokisema. And you are just believing! You "believe for sure" that bara wanachelewesha maendeleo ya Zanzbar. You just believe. Na unasema Malyamkono anapotosha. Well, do you have any empirical evidence to support this? Should we just "believe" you? Then, unasema tafiti lazima ziwe "subjected to scrutiny". Yes, this is how it should work. Are you implying that your one paragraph above is what you mean by scrutiny? Have you done any study to test the robustness of Malyamkono et al findings?

Hata kama hujafanya tafiti yoyote, unaweza kueleza tu ni jinsi gani Tanzania Bara inakwamisha maendeleo ya Zanzibar? Is it discouraging investment in that island? Is it denying people of Zanzibar access to education? Unasema Sychelles na Mauritius zina mazingira kama Zanzibar ukiwa na maana kuwa Zanzibar inapaswa kuwa hatua moja kimaendeleo na hivyo visiwa. Mimi nasema Comoro na Madagascar ni visiwa kama Zanzibar, hivyo visiwa hivi vitatu vinapaswa kuwa hatua moja kiuchumi. Is this your argument? Tanzania bara ni sawa na Brazil, hivyo hizi nchi zinapaswa kufanana kiuchumi. Je, ni Zanzibar inaikwamisha Tanzania Bara kufanana na Brazil kiuchumi?

Your argument is weak. Remember, No Research No Right to Speak!
 
Social issues hazina jibu la 1+1=2. Ndio maana tafiti zinaweza kutoa mwelekeo fulani tofauti na kinachoendelea on the ground au kitakachotokea hapo baadaye.

You are simply wrong! Research leads to innovations and hence development. Without innovations, there's no development. And without research, it's unlikely that you will design a good policy. A policy that relies on "belief" ,like the way you want it to be, are in many cases ineffective. Mfano mzuri ni hili suala la Zanzibar. Wakati baadhi ya watu (including you) wanaamini kuwa uchumi wa Zanzibar unadidimia kwa sababu ya muungano, utafiti umeonesha kuwa Zanzibar will be worse off if it secedes from the union. Kila mtu dunia ya leo anataka kuungana from EU to SADC to NAFTA. Zanzibar inataka kujitenga. Ninaamini utafiti huu utasaidia watunga sera wetu kujua ni nini cha kufanya. Malyamkono amefanya kazi ya kutambua na kuthaminisha faida na hasara. Kazi iliyobaki ni kutafsiri huu utafiti katika sera. Kama Zanzibar wanataka kujitenga, basi na wapewe haki yao. Ila ni vyema wakaelezwa faida na hasara zitakazoambatana na uamuzi.

Kila nikisoma posts za wadau ninazidi kugundua kuwa hili suala limegubikwa na ushabiki ama kutokutaka kuamini nguvu ya tafiti. Mfano, mdau mmoja anadai kuwa "free port" ya Zanzibar itaua bandari zote za Bara. I didn't get it. Ina maana nchi ambazo hazina bandari (landlocked countries) zitapitishia mizigo yao Zanzibar? Yaani Rwanda ipitishie mizigo yake Zanzibar?
 
You are simply wrong! Research leads to innovations and hence development. Without innovations, there's no development. And without research, it's unlikely that you will design a good policy. A policy that relies on "belief" ,like the way you want it to be, are in many cases ineffective. Mfano mzuri ni hili suala la Zanzibar. Wakati baadhi ya watu (including you) wanaamini kuwa uchumi wa Zanzibar unadidimia kwa sababu ya muungano, utafiti umeonesha kuwa Zanzibar will be worse off if it secedes from the union. Kila mtu dunia ya leo anataka kuungana from EU to SADC to NAFTA. Zanzibar inataka kujitenga. Ninaamini utafiti huu utasaidia watunga sera wetu kujua ni nini cha kufanya. Malyamkono amefanya kazi ya kutambua na kuthaminisha faida na hasara. Kazi iliyobaki ni kutafsiri huu utafiti katika sera. Kama Zanzibar wanataka kujitenga, basi na wapewe haki yao. Ila ni vyema wakaelezwa faida na hasara zitakazoambatana na uamuzi.

Kila nikisoma posts za wadau ninazidi kugundua kuwa hili suala limegubikwa na ushabiki ama kutokutaka kuamini nguvu ya tafiti. Mfano, mdau mmoja anadai kuwa "free port" ya Zanzibar itaua bandari zote za Bara. I didn't get it. Ina maana nchi ambazo hazina bandari (landlocked countries) zitapitishia mizigo yao Zanzibar? Yaani Rwanda ipitishie mizigo yake Zanzibar?

Ndugu nafanya kazi kwenye sekta ya utafiti hivyo hiyo biashara naijua sana. Ni kweli pale kunapokuwepo na objectivity kwenye process nzima ya kufanya utafiti na hata wakati wa kutoa results objectivity ikatawala hapo basi tafiti hizo zikifanyiwa kazi huweza kuleta maendeleo. Ninaposabject to scrutine report ya Malyamkono ni kwa sababu conclusion yake imelenga kupigilia msumali kuwa Zanzibar piga ua haiwezi kujiendesha yenyewe pasipo msaada wa bara kitu ambacho sicho. Yeye anatupatia tu worst case senario na wala hatupatii any best case senario. Kuungana kwa nchi ni kweli nchi zinaungana lakini kuungana huko si kwa kulazimishana au kukomoana. Ndio maana Uingereza pamoja na kuwa ndani ya EU lakini maamuzi yao ya kubaki na Pound yaliheshimiwa. Montenegro baada ya kuona kuwa umoja wake na Serbia haulipi basi waliamua kujitoa na Serbia ili waruhusi watoke ili kutafta namna nzuri ya kushirikiana. Zanzibar wakitoka wanaweza kutafuta namna nyingine ya kushirikiana kuliko mfumo uliopo ambao wanaona unawabana
 
Ndugu nafanya kazi kwenye sekta ya utafiti hivyo hiyo biashara naijua sana. Ni kweli pale kunapokuwepo na objectivity kwenye process nzima ya kufanya utafiti na hata wakati wa kutoa results objectivity ikatawala hapo basi tafiti hizo zikifanyiwa kazi huweza kuleta maendeleo. Ninaposabject to scrutine report ya Malyamkono ni kwa sababu conclusion yake imelenga kupigilia msumali kuwa Zanzibar piga ua haiwezi kujiendesha yenyewe pasipo msaada wa bara kitu ambacho sicho. Yeye anatupatia tu worst case senario na wala hatupatii any best case senario. Kuungana kwa nchi ni kweli nchi zinaungana lakini kuungana huko si kwa kulazimishana au kukomoana. Ndio maana Uingereza pamoja na kuwa ndani ya EU lakini maamuzi yao ya kubaki na Pound yaliheshimiwa. Montenegro baada ya kuona kuwa umoja wake na Serbia haulipi basi waliamua kujitoa na Serbia ili waruhusi watoke ili kutafta namna nzuri ya kushirikiana. Zanzibar wakitoka wanaweza kutafuta namna nyingine ya kushirikiana kuliko mfumo uliopo ambao wanaona unawabana

Objectivity? Una maana gani? Conclusion should flow directly from the results, which in turn stem from the methodology. Sasa wewe unaona hii ripoti haifai kwasababu matokeo yake ni tofauti na unachoamini wewe. Again, this is wrong! Lengo la utafiti wa Malyamkono (kama utafiti mwingine wowote) ni kutafuta majawabu ya kisayansi kwa matatizo yanayoikabili jamii, na si "kupigilia msumari" hoja kuwa Zanzibar haiwezi kujitegemea. Kumpinga Malyamkono, fanya utafiti, subject it to the peer review and conclude that Malyamkono was wrong. Na unasema wewe ni mtafiti. You sound like a politician dude!
 
Objectivity? Una maana gani? Conclusion should flow directly from the results, which in turn stem from the methodology. Sasa wewe unaona hii ripoti haifai kwasababu matokeo yake ni tofauti na unachoamini wewe. Again, this is wrong! Lengo la utafiti wa Malyamkono (kama utafiti mwingine wowote) ni kutafuta majawabu ya kisayansi kwa matatizo yanayoikabili jamii, na si "kupigilia msumari" hoja kuwa Zanzibar haiwezi kujitegemea. Kumpinga Malyamkono, fanya utafiti, subject it to the peer review and conclude that Malyamkono was wrong. Na unasema wewe ni mtafiti. You sound like a politician dude!

Nakwambia sio lazima nifanye utafiti ndipo niweze kutoa maoni yangu kwenye report. Uelewa, uzoefu, mapungufu katika riport kwenye methodology n.k. vinaweza kunipa uwezo wa kuhoji kile kilichokuwa presented. Ingekuwa kwamba kila mtu anatakiwa aingie kwenye field kufanya tafiti na kuleta majibu ndipo atoe maoni yake kwenye report basi kwenye semina hakuna mtu ambaye ange comment tofauti na matokeo ya utafiti.

Pia kumbuka kwenye social issues hakuna 1+1=2. It is very difficult to replecate the findings. Nikienda Zanzibar kufanya utafiti na kuwahoji watu wale wale naweza kuja na conclusion tofauti na waliyokuja nayo akina malyamkono. Hivyo hata jibu langu laweza kuwa sahihi.
 
Hizo findings za kina Maliyamkono zina kila sababu ya kutiliwa mashaka.....No doubt kwamba sisi wabara ndio tunawarudisha wazenj nyuma.Any way ngoja tukitafute kwanza hicho kitabu tukisome alafu tuoneee....
 
Ovyooo kabisa mkinambia kwa kazi hii ndo amekuwa Prof. ntajinyonga nife.
 
Mai Broda,usisahau kwamba muungano ukivunjika tu chances are wapemba watachinjwa kama kuku,na maskini sijui watakimbilia wapi.

Wewe nafikiri hata hao majambazi hapo bongo huwajui ,hebu waulize usalama wa Taifa wakupe dataz za majambazi ambao huwa wanamegewa mlo baada ya mawindo na wao kukaa kimya.Wakwambie ni kutoka wapi ?

Nikirudi kwenye mada:-

Kama nikiongezea ni nchi ngapi miungano imevunjika na hatukuona wananchi kuchinja au kuchinjana ,ila ukiangalia zaidi utaona zile nchi zinazong'ang'ania muungano kinguvunguvu ndizo zinazopelekea mauaji ya halaiki ,na kwa hapa inaonyesha waTanganyika mko tayari kuua ili Muungano usivunjike ,lakini itakuwa mmechelewa sana.
Si unaona Urusi inavyoing'ang'ania Chechnya ,na nchi za hapo scandnavia kati zote zilikuwa lile likubwa linavibaka vijinchi vidogo na kuviingilia kijeshi kila wakati eti kulinda miungano lakini wapi ,maji yakishamwagika ndio hivyo tena.Barua zishapelekwa kila kona kuhusiana na Muungano huu na karibu mambu yatawekwa hadharani hivyo kama mnatugaia kila mmoja dola 1200 ,itakuwa basi ,zitawasaidia wenyewe huko Tanganyika ,maana kuna watu wanakula mpaka mbegu walizopewa ,kwa kutumia hizi 1200 dolar mtawapa wao ,wapate mlo wa pili na wa tatu kjwa siku ,ila mkizubaa mafisadi hawatazilazia damu.
 
Visiwani ni mzigo mkubwa sana kwa Bara na hii inajulikana kwa siku nyingi!

Yet Visiwani hawaachi bado kulalamika na kulia lia kila siku!

Sasa komoro nao wanaomba kujiunga na bara..sasa sijui mizigo yote ya Zanzibar na Komoro- je bara wataweza?


wafadhilaka wa pundaka kwani pale SMZ ilipokulipieni lile deni katika IMF la milioni £15 mbona hamkulizungumza hilo, pia isitoshe SMZ hivi karibuni ilitamka wazi wazi kuwa TANGANYIKAhawapi pesa ZANZIBAR kinachopelekwa ZANZIBAR ni sehemu ya misada toka kwa wafadhili wacheni kusema uongo mtakwenda kuvutwa ndimi zenu huko muendako.Ngoma ukiona inavuma sana ujuwe ndio inafikia ukingoni. siku yenu ya Muazara aliyoipanga Mmungu haipo Mbali tutakuja kumbushana hapa hapa penye uhai.
 
..utafiti uliofanywa na Prof.Teddy Malyamkono na wasomi wenzake umebaini kwamba Zanzibar ni mzigo mkubwa kwa wa-Tanganyika.

..ningeshauri kila Mtanganyika asome kitabu cha Prof.Maliyamkono.

..ikiwezekana kitabu hicho kitumike mashuleni, kwenye madrasa,sunday school, jando, unyago, etc etc

Tusiandikie mate na wino ungalipo wezetu ndio wanakaribia waendako nasi tupo nyuma yao


ALEX Salmond has declared that Scotland is "two-thirds" of the way down the road to independence, hailing the "extraordinary" progress made by the SNP since devolution.

Marking the 10th anniversary of the first Scottish election, the First Minister said the prospect of splitting up the United Kingdom is now closer than at any time since the Act of Union was signed in 1707.

"I think Scotland's closer to independenADVERTISEMENTce than it's been for 300 years," Salmond said.

He also paid tribute to nationalists like Winnie Ewing, who made a breakthrough by winning the 1967 Hamilton by-election, her late daughter-in-law Margaret Ewing and Allan Macartney, the late MEP who was the party's deputy leader. Salmond said those figures would be gratified by the progress the SNP had made after decades of political obscurity.

"We've had the party around for the best part of 70 to 80 years now and… all these years for them to get self-government on the agenda would have been an achievement.

"So if we take the Parliament as step one, the SNP Government as step two – step three is independence and I think we are two-thirds of the way there."

Salmond's comments – to be broadcast on Clyde 2 and Forth 2 radio stations today at 1am – provoked an angry response from Iain Gray, the Scottish Labour leader.

He said:

"During the worst economic crisis since the war, the rest of Scotland is planning for recovery but Alex Salmond is planning for a referendum.

"Separate from the rest of the UK, our banks and building societies would have vanished, losing all the jobs, mortgages and savings. It's not that big countries are immune from the recession – look at America – it's that they have the strength to recover faster."
 
The union question just need to be addressed constructively. I stand to be corrected, but the union question is part of Tanzania today. Our fight should only be to better it and not to destroy the work of our own history. If it was evil we could have demolish it, but the facts is the political, social, and economic circumstances which led to its establishment in 1960's still holds the truth. In deed, today things have change, and Zanzibar need better conditions and leadership positions for its people and resources. there is nothing wrong with that if the essence of the union is to better its people.
 
Last edited:
The Muungano obviously has not worked to integrate the people. Hatujawa wamoja bali ni watu wawili ndani ya chungu kimoja. If the union achieved what it was supposed to achieve today we wouldn't be divided among wale watanganyika na wale wazenji. By now ingetakiwa kila mtu ajione ni mtanzania. Hilo tu kwangu linaonyesha kuwa muungano una matatizo kama bado nchi moja lakini bado watu wake wanaona nchi mbili.
 
I find no wrong for a tanzania to claim i am zanzibarian, like the one who claims i am sukuma or haya. I found no wrong for a zanzibarian to question about their participation in state power, like Tanzania who blame CCM for being unfair in political landscape.

There is no strange for a male to claim his a male and woman to claim her gender identity. We all identify ourself of who we are, things which are familiar to us. It is our interaction which define the other, and of course the self when lives and internalize the otherness it take it reality forms.

The problem of the union is not personal, rather it has been created with fear among our leaders of what zanzibar is and what it could became, and so terror and denial of its sovereignty has taken different form.

It is a reality which need to be corrected
 
I find no wrong for a tanzania to claim i am zanzibarian, like the one who claims i am sukuma or haya. I found no wrong for a zanzibarian to question about their participation in state power, like Tanzania who blame CCM for being unfair in political landscape.

There is no strange for a male to claim his a male and woman to claim her gender identity. We all identify ourself of who we are, things which are familiar to us. It is our interaction which define the other, and of course the self when lives and internalize the otherness it take it reality forms.

The problem of the union is not personal, rather it has been created with fear among our leaders of what zanzibar is and what it could became, and so terror and denial of its sovereignty has taken different form.

It is a reality which need to be corrected

PH:

Maneno yako ni mazito na yana ukweli. Lakini sehemu kubwa inayotusumbua hapa ni umasikini.
 
PH:Maneno yako ni mazito na yana ukweli. Lakini sehemu kubwa inayotusumbua hapa ni umasikini.

It all start with faith! Maskini tanzania sio wanaoleta purukushani! Ni wale watu wa kati ndio wanaocheza dede! So, Ironic.
 
Nakwambia sio lazima nifanye utafiti ndipo niweze kutoa maoni yangu kwenye report. Uelewa, uzoefu, mapungufu katika riport kwenye methodology n.k. vinaweza kunipa uwezo wa kuhoji kile kilichokuwa presented. Ingekuwa kwamba kila mtu anatakiwa aingie kwenye field kufanya tafiti na kuleta majibu ndipo atoe maoni yake kwenye report basi kwenye semina hakuna mtu ambaye ange comment tofauti na matokeo ya utafiti.

Pia kumbuka kwenye social issues hakuna 1+1=2. It is very difficult to replecate the findings. Nikienda Zanzibar kufanya utafiti na kuwahoji watu wale wale naweza kuja na conclusion tofauti na waliyokuja nayo akina malyamkono. Hivyo hata jibu langu laweza kuwa sahihi.

Ni kweli si lazima ufanye utafiti ili uweze kutoa maoni. Lakini maoni yanakuwa na nguvu kama yanatokana na utafiti. Otherwise, anybody can say anything. Now, where do you base your argument? Ukiwa kama mtafiti, ni mapungufu gani kwenye methodology aliyotumia Malyamkono yanayokufanya uikatae ripoti yake? What anomaly did you discover?

Again, you are wrong to say that social science research cannot be replicated. Tons of studies have been replicated. When you replicate a study, do you expect to get the same results?

Yes, social science research is different from a natural experiment. But social scientists throughout the history have developed methods to measure social parameters.

Na unapotoa maoni kwenye semina bila evidence, then maoni hayo ni dhaifu pia. No exception!

Anyway, I am out.
 
Back
Top Bottom