Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
kAKA Companero mara nyingi mimi na wewe huwa tunakutana kwenye zile semina zao za wiki GDSS na semina nyingine nyingine nyingi tu na wewe mchango wako unakuwaga na tija sana mkuu.
Lakini umewahi kusikiliza maneno yao wale akina mama na dada zetu? Na jinsi wanavyowalisha moto wadada na wake zetu yaani hata mke wako ukimuona anaenda GDSS halafu hajabadilika basi wewe una bahati sana. Ila kimsingi mafundisho yao ni ya kujilinganisha sana na wanaume na kupingana nao kila kitu. Pia mimi ni mmoja sana kati ya watu ninaopenda usawa baina ya wanawake na wanaume lakini sio hadi ule wa kupitiliza kwasababu tukubaliane tu kuwa kuna mambo mengine ambayo yanahitaji usimamizi wa baba na mengine usimamizi wa mama.
Angalizo
Sio wote,
...Sipo, usawa gani huo 'unaopitiliza', hebu tugusie hayo yanayosemwa huko...