MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Hivi wakuu nataka kuuliza. Usawa una wezekana kweli kwenye uhusiano haswa kama ndoa? Is it practical au just a wonderful concept? Ukiangalia kati kila nyaja ya maisha lazima kuna walio juu zaidi na walio chini zaidi. Sasa kwa mantiki hii ina wezekana kweli kwenye ndoa mkawa na watu wawili ambao wana nguvu sawa? Na kabla wanawake hawa jaanza kuni shambulia let me just say simaanishi mwanamke kaubwa kuwa chini ya mwanaume. Ninacho sema mimi ni kwamba kwenye ndoa si ni practical mmoja wapo(iwe mwanaume au mwanamke) akawa kiongozi kwenye familia? As long as one is a leader and not a ruler sioni ubaya wowote. Ili mradi tu mambo yaende kidemokrasia. Maana kwenye mfumo wa familia wenyewe kuna hierarchy. Una kuta wazazi ndiyo wapo juu na watoto chini. Na hata hao watoto kwa kawaida aliye mdogo ata msikiliza na kumtii yule aliye mkubwa. Honest opinions jamani siyo mambo ya hisia na boys against girls. Do we need total equality or do we need one of the couple to be a leader but also fair and just?