VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Kinachojiri hivi sasa hasa katika Jiji la Arusha ni matunda ya usanii uliotukuka wa Chama cha Mapinduzi,CCM.Wenye chama hicho wamejisahau.
Wamesahau kuwa wale watu wa Tanganyika si hawa wa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani.Usanii wa chama hicho 'tawala' umeruhusu sanaa kwa Chama kikuu cha Upinzani nchini,Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).Mkesha wa CHADEMA pale Arusha ni kati ya sanaa kali zinazotekelezwa vilivyo na CHADEMA.
Kupitia sanaa za majukwaani(kama alizosoma Lowassa) CHADEMA inaendelea kujiimarisha,kujijenga.Watu wanaambiwa kweli,hali na jinsi wanavyotawaliwa. Wanaelewa. Ya heri siku ile Lema atakapotolewa rumande...sanaa tosha pia.
Wamesahau kuwa wale watu wa Tanganyika si hawa wa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani.Usanii wa chama hicho 'tawala' umeruhusu sanaa kwa Chama kikuu cha Upinzani nchini,Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA).Mkesha wa CHADEMA pale Arusha ni kati ya sanaa kali zinazotekelezwa vilivyo na CHADEMA.
Kupitia sanaa za majukwaani(kama alizosoma Lowassa) CHADEMA inaendelea kujiimarisha,kujijenga.Watu wanaambiwa kweli,hali na jinsi wanavyotawaliwa. Wanaelewa. Ya heri siku ile Lema atakapotolewa rumande...sanaa tosha pia.