Josephine03
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 752
- 302
JK kupitia chama chake ametoa msaada wa shilingi milioni kumi kwa wamachinga wa Mwanza, lakini cha kushangaza hilo fungu limeanza kufanyiwa mchakato kwa watu ambao si wamachinga bali ni ndugu na jamaa wa karibu wa viongozi wa CCM. Hii habari nimeipata kutoka kwa jamaa yangu wa karibu ambaye baada ya kuiona nilijaribu kumpigia kujua ya zaidi akanijibu kanyaboya hiyo, sababu kuna masharti ambayo mmachinga wa kawaida hataweza yafikia. Niliposikia nikayakumbuka yaliyoitwa mabilioni ya Kikwete. Sijui huyu mwenyekiti na rais anawatendaji wa aina gani