Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Nafikiri sheria ya kuunda katiba mpya ni jambo la msingi!
Nimepigwa na butwa kujua kumbe wabunge wa CCM kuharakisha kupitisha muswada wa kuunda katiba mpya walifanya hivyo ili tu kuwakomoa Chadema ambao walitoka nje
Jana, Mwenyekiti wa CCM(JK) ansema hata wabunge wa CCM nao baada ya kupitisha muswada kwa mbwembwe wamewasilisha kwake marekebisho 8 ili yafanyike kuirekibisha sheria ya kuunda katiba mpya.
Najiuliza tunakwenda wapi kam anchi, je hii dhihaka na usanii katika mambo ya msingi itatufikisha wapi?
Nawasilisha wakuu hebu tutafakari wote kwa pamoja.
Nimepigwa na butwa kujua kumbe wabunge wa CCM kuharakisha kupitisha muswada wa kuunda katiba mpya walifanya hivyo ili tu kuwakomoa Chadema ambao walitoka nje
Jana, Mwenyekiti wa CCM(JK) ansema hata wabunge wa CCM nao baada ya kupitisha muswada kwa mbwembwe wamewasilisha kwake marekebisho 8 ili yafanyike kuirekibisha sheria ya kuunda katiba mpya.
Najiuliza tunakwenda wapi kam anchi, je hii dhihaka na usanii katika mambo ya msingi itatufikisha wapi?
Nawasilisha wakuu hebu tutafakari wote kwa pamoja.