Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Pia tukumbuke kuwa Bw.Ngessi hamiliki chombo cha habari ni mwajiriwa anayeripotia chombo fulani cha habar ambacho kina muhariri habari tujiulize kwa nini muhariri alikubali kutolewa habari hiyo kama naye sio mnafiki